Mume wangu kaibiwa nikiwa masomoni

Mume wangu kaibiwa nikiwa masomoni

Pole nawe ondoka kaanze maisha yako utapata mwingine tu dada
 
jamaa kawa wazi sana bidada,, amekusaidia, tafuta mlango wa kutokea.,,wake ushafungwa.
 
Huyo ni boifrend au mume halisi?

Labda ulikua hujishuhulishi kumkeep busy na maskype mpaka akajiona yupo solo bora aoe
 
Habari wana JF.

Nilikuwa masomoni,nimerudi likizo nimekuta mume wangu kaoa,hajali ujaji wangu,na kasema kama nakwazika nisepe yeye hataki wasomi.
yeye ni form4 na mimi ni degree.

Nisaidieni jamani.


Shukuru mungu, pengine umeepushwa hii kitu inaitwa grid ya taifa

AnwP5rAEz70HAAAAAElFTkSuQmCC


Maana hawana alama.... au pengine umeepushwa kuwa mjane mapema
 
Weka malengo yako ya muda mfupi na mrefu! !!!!!
Ni changamoto tu hiyo ukiwa "cooperative" humu shida yako itatatuka fasta kwa gharama nafuu sana!!!!!!

Cc Asprin

Ahsante kwa ushauri muruwa, nadhani ataelewa kwanini umenimention na atachukua hatua chapchap sana.

Hakika wewe ni ndugu yangu wa ukweli.
 
Last edited by a moderator:
shida nyie mkiwa na kazi huko ndan hapakaliki.unaona mwenzio kajifanya mjanja kisa uhakim

Wanaume hamueleweki kama papuchi tu
mwanamke golikipa mna ona mzigo make mnaombwa hadi hela ya kiberiti
mwanamke mwenye kipato wa kusaidiana nae maisha mna mnamuona ishu
hivi mnatakaje???!!?
 
Hii stori km ilishakuja!!!
Weka picha


vuta subira tunaweza jitokeza maana huwezi jua
 
Hapa ndiyo mahali nikifikiria wanaume huwa siwaelewi. Achana na mambo ya wanaume anza upya kwani lazima uish na mwanaume acha kuumiza moyo
 
Wanaume hamueleweki kama papuchi tu
mwanamke golikipa mna ona mzigo make mnaombwa hadi hela ya kiberiti
mwanamke mwenye kipato wa kusaidiana nae maisha mna mnamuona ishu
hivi mnatakaje???!!?
tunataka anayejieshim sio zarau.mmwanaume ndo kichwa
 
Back
Top Bottom