Kwa mujibu wa Takwimu zilizopo, NHIF inahudumia asilimia 8 tu ya Watanzania, maana yake kuna asilimia 92 ambao wanahudumiwa kwa njia nyingine za matibabu
jamaa hapo juu anahoji Nchi /afya ya nchi itatetelekaje kwa kuyumba kwa NHIF ambayo inacover 8% tu ya watanzania.
Maoni yangu
Nikweli...
habari mkuu
mimi pia nahitaji kuanza hii biashara lkn niliplan kutoa mbeya kuleta Mwanza naomba kujua yafuatayo
umesema usafiri unalipa advance ( na kwa Dar unaanza na laki 3 probably kwa kuwa malori yanakuwa yanarudi bila mzigo) vipi bei kamili ya usafiri ni ngapi? na kama una fahamu bei ya...
Jamani wana MMU naombeni ushauri kuna bi dada mi nimempenda kwelikweli mwanzo alikuwa rafiki tu baada ya mapenzi kunizidia nikaamua kumwambia cha ajabu hakukubari wala kukataa ila akanambia eti kwa sasa hayupo tayari kuwa ktka mahusiano yeyote...nilifadhaika sana nikaacha hata kuwasiliana nae...
ok twende taratibu mkuu 50% +1 maana yake ni kuwa upate asimia hamsini na kura moja yaani ile moja sio asilimia ni real number moja....so ile 0.03 % katika 50.03% ukiikokotoa kwenye idadi ya kula ni zaidi ya moja.....
Hamna shida kama madactari waliambiwa wakatafute wanapoweza kulipwa vizuri,kuwa na mazingira mazuri yaa kazi na WEWE mwananchi ukakaa kimya sasa maana ya kauli ile ya mkuu wa kaya maana yake na mwananchi kama waweza kutafuuta mahali ukahudumiwa vizuri we nenda tu..tusidanganyane jamani hakuna...
Eti leo naingia kwa mara ya tano ndo nagundua kuwa Mzizi mbichi alisema mwisho wa episode 13,eti itaendelea jumamosi ijayo....daaaaaaah pouwa ntakuja that day bt pls MZIZI tufikirie hapa katikat ya wk pleaaaaasee.....
***
MIAKA MITATU BAADAYE
Deo alifanikiwa kumaliza salama masomo yake
na kupata kazi kama mhasibu wa Kampuni ya
Usafirishaji Mizigo ya Snox Carries LTD ya jijini
Dar es Salaam. Kwa upande wa Levina tayari
alishajifungua mtoto wa kike aliyekuwa na umri
wa mwaka mmoja na miezi kadhaa...
SIO UMJINI MWATIMIZA MANENO YA MANABII ,HAKIKA DUNIA II KATIKA CKU ZA MWISHO HEBU WASOMAJI WA BIBILIA TUJIKUMBUSHE....
ISAYA 4:1-Na siku hiyo wanawake saba watamshika mume mmoja wakisema,tutakula chakula chetu na tutavaa nguo zetu wenyewe,lkn tuitwe tu jina lako,utuondolee aibu yetu.+
Mi nafikiri hii thread ina mhusu mbunge SUGU sasa kama tungetaka kujadili mkuu wa mkoa,wilay,nchi au mkurugenzi tungefanya hivyo ktka thread nyingine...tuna haki wana mbeya kuuliza tulichofanyiwa kwani ktk kampeni zake kuna vitu aliahidi kama alijua hawezi asingeahidi kuna usemi unasema AHADI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.