Usife kwanza mpenzi wangu

Usife kwanza mpenzi wangu

hongera MziziMkavu ilikuwa nzuri Levina alikuwa na penzi la dhati hakika ni vigumu kulipata miaka ya sasa lol
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu nimeipenda sana hadithi yako.Wahusika Wakuu wote wamelipwa kulingana na Matendo yao.Deo amepata mateso makubwa kwa kosa la kutaka kumsaliti Levina,Cleopartra nae kapata Maumivu makubwa kwa Kosa la kutaka kumdhulumu rafiki yake Boyfriend,Levina amepata Mateso makubwa Moyoni kwa Kosa la Kumzushia Uongo Mtumishi wao mwaminifu Rashid.KwaMaumivu hayo kila Mtu amepata somo.Somo lingine tunalolipata hapa ni kutoka kwa Levina kwamba kila kitu ukikiwekea malengo ya dhati utafanikiwa.Nakushukuru sana Mzizimkavu kwa Mafundisho uliyotupatia.
 
Fantastic story yenye mafunzo mazuri sana kwa jamii yetu ya leo maana usaliti ni mwingi , big up mkuu MziziMkavu
 
Last edited by a moderator:
umetisha sana mzizi wewe ni zaidi ya shigongo sijui kwanini ulikuwa umeficha hicho kipaji chako. Nasubilia double face nayo. Ubarikiwe sana mkuu kwa kutupatia hii burudani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom