Jamani naomba msaada kwa anaeelewa kuhusu mafao ya NSSF.
Mimi nimewahi kuajiriwa kama professional na baada ya mkataba nilifungua madai NSSF nikalipwa kwa mfumo wa 33.3% ya mshahara wangu kwa muda wa miezi 6 then muda ukapita nikiwa napambana na maisha.
Baada ya muda nikapata kazi ambayo si...
Kama kitendo cha serikali kuomba taarifa za watu ndo kinafanya Tanzania iwe na mfumo mbovu wa usiri wa taarifa za watumiaji wa mtandao basi napingana na ninyi kwasababu last week nimeona jarida limechapishwa na vyombo vya habari mashuhuli duniani kwamba marekani ndo nchi duniani inayoongoza kwa...
Lakini vipi kama mh rais angetinga leo mahakamani kwenye hiyo kesi c mngesema sana kwamba ishara ya kuingilia maamuzi ya mahakama lkn kwakuwa n mabeberu aah wao n sawa
Hizi dini za kuletewa zina ujinga mwingi sana hivi how dare kumtangaza mwanadam mwenzako utakatifu...waafrica tuna safari ndefu sana mpaka kuja kumjua mungu wetu..hivi hatuwaoni China,Russia,Japan,Korea,India na jamii zingine nyingi tu zinamwabudu mungu wao? Tofaut na tuliokaririshwa sisi dini...
Jamani mm naungana na wakenya kwa sababu huo mchezo ambao watanzania wengi...Mimi Nafahamu Kinachofanyika kwa sababu kuna kaka yangu amewahi kufanya hiyo biashara kwa tamaa za pesa..ngoja niwaelezee jinsi ilivyo..iko hivi hapa tz Vijana wanachofanya ni kuzunguka mjini na vijijini kutafuta...
Yanga acheni ujinga wenu n mda wwakupevuka ki mawazo na ki akili mbna sisi simba tunavaa logo ya CAF club bingwa akati n ya kijani?tumieni akili acheni mambo ya ujima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.