Huyo mwandishi ameandika mambo mengi lakn uongo mtu mtupu eti kuna wanyarwanda wanalinda ukuta wa merelani uongo mtupu,anaandika kama amekatwa kichwa eti kuna wanawake wa kinyarwanda wamejea kwenye wizara ipi wamejaa? Uongo mtupu.
Kupitishwa jina wanaangalia mchango wako kwenye chama unakuta mbunge hawezi hata kutetea chama kinaposhambuliwa na wapinzani yupo tu hakuna aliyeonewa hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.