Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Wadau,
Hivi Balozi wa Tanzania analipwa mshahara (Gross Salary) Shilingi ngapi kwa mwezi ?
Na mabalozi wote mishahara yao inafanana au inategemeana na nchi aliyopo?
Kuna ndugu yangu ni Balozi ila naona kama yupo yupo tu, hatumsomi.
Hivi Balozi wa Tanzania analipwa mshahara (Gross Salary) Shilingi ngapi kwa mwezi ?
Na mabalozi wote mishahara yao inafanana au inategemeana na nchi aliyopo?
Kuna ndugu yangu ni Balozi ila naona kama yupo yupo tu, hatumsomi.