sijaahi kuona watanzania kama ninyi manashindwa kupambanua mambo kwa hoja,unaifahamu kazi ya mbunge au unashabikia kwasababu huna akiri ya kupambanua mambo?
Mkuu uliyeleta mada huko sahihi sana,sioni sababu ya chedema kuwanyoshea vidole ccm kuwa ni chama cha kindugu na wakati hata sisi chama chetu kinalea undugu.ukitaka uwe adui wa chadema we kuwa mkweli kwa kila jambo we siku zote utaonekana mbaya wao.mi mwenyewe ni chadema wa kweli na wa kwenye...
nanona hili jamaa linanichefua kwa hizo habar za migamba.sijui mijitu mingine hua inashirikisha mibox(mivichwa) kufikilia au ikiamka inaandika kile kinachokuja kichwani mwao
daaa bora hata ningeishia darasa la saba nikajiajili mwenyeqe maana hapa ni kama kupoteza mda tuu kwa mambo ambayo hayawezi kuinua kiuchumi hata siku moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.