Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,724
- 165,127
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-salaam,Prof.Rwekaza Mukandala,leo ametoa kauli kumpongeza Rais Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa rais na kusema kuwa huo ni uthibitisho kuwa chuo hicho kinatoa taaluma bora na pia amejivunia chuo hicho kutoa viongozi wengi wa kitaifa.
Prof Rwekaza ameongeza kuwa Magufuli alimaliza shahada yake ya kwanza hapo UD mwaka 1988,mwaka 1994 umahiri (ndio inavyosomeka) na pia alipata shahada ya uzamivu(Phd) mwaka 2009 hapo hapo UD.
Chanzo:Mwananchi online.
=========
Prof. nakushauri ukae kimya tu maana utaibua mengi kuhusu hao wahitimu wa hicho chuo waliowahi kuwa viongozi na ambao bado ni viongozi na hata huyu mh. Magufuli nae ndio kwanza anaanza hivyo ni bora kuwa na akiba ya maneno.
Prof Rwekaza ameongeza kuwa Magufuli alimaliza shahada yake ya kwanza hapo UD mwaka 1988,mwaka 1994 umahiri (ndio inavyosomeka) na pia alipata shahada ya uzamivu(Phd) mwaka 2009 hapo hapo UD.
Chanzo:Mwananchi online.
=========
Prof. nakushauri ukae kimya tu maana utaibua mengi kuhusu hao wahitimu wa hicho chuo waliowahi kuwa viongozi na ambao bado ni viongozi na hata huyu mh. Magufuli nae ndio kwanza anaanza hivyo ni bora kuwa na akiba ya maneno.