Walioikimbilia CHADEMA waanza kuitenga

Walioikimbilia CHADEMA waanza kuitenga

Habari za uhakika kutoka vyanzo vyangu vya habari kutoka mikoani ,vimenibipu kuwa wale waTanzania walio wengi ambao walikuwa wakihamia kwenye Chama cha siasa cha Chadema wameanza kukisema na kukipuuza Chama hicho baada ya lile valangati lililotokea bungeni.

hata kabla ya vulugu la bungeni wengi wa wanachama wa chama hicho walikuwa wanasusia mikutano na baadhi ya ofisi huwa hazifunguliwi kwa kuwa hakuna anaepita wala kuhudhuria mkutano ikiwa utaitishwa hali iliyopelekea Chama hicho kuanza kufifia.

Baadhi ya wananchi wamesikika wakisema kuwa waliiona CDM kama mkombozi wao kwajinsi kinavyotangaza sera lakini kwa matendona mienendoya viongozi wao wameona yale yote ni danganya toto na sasa wanaelewa ni nani alie na nia ya kuwakomboa Watanzania toka kwenye makucha ya Sultani CCM.

Ubovu wa CDM ambao nimbaya hata kushinda ngozi ya shetani ni kule kuwaeleza wananchi mambo mengi na ahadi nyingi zikiwepo kurudi mara ingine kuwasimulia mapya ,wananchi wamesema huwa hawarudi na hata wakirudi huwa hawana jipya,na baya zaidi ni kule kwa viongozi wa Chadema kujijali wao wenyewe kwa wenyewe na kwa maslahi yao,hawaonyeshi nia ya kumjali mwananchi wa kawaida.

wananchi wengi wanaokumbwa na matatizo wakati , wa vurugu hizo zilitokana na kuwepo au kuhudhuria kwenye mikutano ya Chadema ,na kukumbana na vyombo vya dola kuwepokesi au kuswekwa lakapu,CDM huwa hawafuatilii wala kuwajulia na viongozi wao huwa hawawaoni wala kuwasogelea katika vituo ,labda pale tu kiongozi awe amekamatwa. Wananchi hao wamesema wamechoka kufanywa kama ngazi ya kupandia mtumbwi.

Sidhani kama hii nayo ni post ya kuamini, nonesence
 
Duh, mkuu mwenzetu hao watu uliwakusanya? Ilikuwaje? Mkuu acha blah blah mkuu!
 
Ujinga unaisha lakini upumbavu na usen.e huwa ni tabu kuisha

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Baada ya ile hali pale Bungeni - tumeona CCM wanatupeleka kusiko, tupo kama 300 tunataka kurudishs kadi za CCM na tufungue tawi CDM hapa mtaani
 
nanona hili jamaa linanichefua kwa hizo habar za migamba.sijui mijitu mingine hua inashirikisha mibox(mivichwa) kufikilia au ikiamka inaandika kile kinachokuja kichwani mwao
 
Habari za uhakika kutoka vyanzo vyangu vya habari kutoka mikoani ,vimenibipu kuwa wale waTanzania walio wengi ambao walikuwa wakihamia kwenye Chama cha siasa cha Chadema wameanza kukisema na kukipuuza Chama hicho baada ya lile valangati lililotokea bungeni.

hata kabla ya vulugu la bungeni wengi wa wanachama wa chama hicho walikuwa wanasusia mikutano na baadhi ya ofisi huwa hazifunguliwi kwa kuwa hakuna anaepita wala kuhudhuria mkutano ikiwa utaitishwa hali iliyopelekea Chama hicho kuanza kufifia.

Baadhi ya wananchi wamesikika wakisema kuwa waliiona CDM kama mkombozi wao kwajinsi kinavyotangaza sera lakini kwa matendona mienendoya viongozi wao wameona yale yote ni danganya toto na sasa wanaelewa ni nani alie na nia ya kuwakomboa Watanzania toka kwenye makucha ya Sultani CCM.

Ubovu wa CDM ambao nimbaya hata kushinda ngozi ya shetani ni kule kuwaeleza wananchi mambo mengi na ahadi nyingi zikiwepo kurudi mara ingine kuwasimulia mapya ,wananchi wamesema huwa hawarudi na hata wakirudi huwa hawana jipya,na baya zaidi ni kule kwa viongozi wa Chadema kujijali wao wenyewe kwa wenyewe na kwa maslahi yao,hawaonyeshi nia ya kumjali mwananchi wa kawaida.

wananchi wengi wanaokumbwa na matatizo wakati , wa vurugu hizo zilitokana na kuwepo au kuhudhuria kwenye mikutano ya Chadema ,na kukumbana na vyombo vya dola kuwepokesi au kuswekwa lakapu,CDM huwa hawafuatilii wala kuwajulia na viongozi wao huwa hawawaoni wala kuwasogelea katika vituo ,labda pale tu kiongozi awe amekamatwa. Wananchi hao wamesema wamechoka kufanywa kama ngazi ya kupandia mtumbwi.

Just because ubongo wako umeamua kujitenga nawe haimaanishi kuwa waliojiunga na Chadema nao wameamua kujitenda na chama hicho. Ushauri wangu kwako ndugu yangu ni huu: seek medical help as soon as possible.
 
takataka hii ukamweleze baba yako na mama yako, shame upon you, una akili kama ya SHIBUDA NA NAPE, WOTE WANAOAMINI SERA ZA KIPUMBAVU ZA CCM NI LAANA KWA TAIFA, ONA RAIS WAO JK WAZUNGU WANAMUONA ZUZU KWA KUPEWA DEGREE FAKE,
 
Leo umekosa buku saba kwa hili povu akuna wa kulikubali jipange tena dah umekosa ata ela ya bundle
 
Habari za uhakika kutoka vyanzo vyangu vya habari kutoka mikoani ,vimenibipu kuwa wale waTanzania walio wengi ambao walikuwa wakihamia kwenye Chama cha siasa cha Chadema wameanza kukisema na kukipuuza Chama hicho baada ya lile valangati lililotokea bungeni.

hata kabla ya vulugu la bungeni wengi wa wanachama wa chama hicho walikuwa wanasusia mikutano na baadhi ya ofisi huwa hazifunguliwi kwa kuwa hakuna anaepita wala kuhudhuria mkutano ikiwa utaitishwa hali iliyopelekea Chama hicho kuanza kufifia.

Baadhi ya wananchi wamesikika wakisema kuwa waliiona CDM kama mkombozi wao kwajinsi kinavyotangaza sera lakini kwa matendona mienendoya viongozi wao wameona yale yote ni danganya toto na sasa wanaelewa ni nani alie na nia ya kuwakomboa Watanzania toka kwenye makucha ya Sultani CCM.

Ubovu wa CDM ambao nimbaya hata kushinda ngozi ya shetani ni kule kuwaeleza wananchi mambo mengi na ahadi nyingi zikiwepo kurudi mara ingine kuwasimulia mapya ,wananchi wamesema huwa hawarudi na hata wakirudi huwa hawana jipya,na baya zaidi ni kule kwa viongozi wa Chadema kujijali wao wenyewe kwa wenyewe na kwa maslahi yao,hawaonyeshi nia ya kumjali mwananchi wa kawaida.

wananchi wengi wanaokumbwa na matatizo wakati , wa vurugu hizo zilitokana na kuwepo au kuhudhuria kwenye mikutano ya Chadema ,na kukumbana na vyombo vya dola kuwepokesi au kuswekwa lakapu,CDM huwa hawafuatilii wala kuwajulia na viongozi wao huwa hawawaoni wala kuwasogelea katika vituo ,labda pale tu kiongozi awe amekamatwa. Wananchi hao wamesema wamechoka kufanywa kama ngazi ya kupandia mtumbwi.

bange sembe za magamba, haya ndio madhara katika ufikiri.
 
Nahisi huku kwenye jamii forums kuna watu wana ID nyingi sana. Yawezekana mtu akaitwa Hamy D akawa na ID nyingine ya Mwiba na akawa na ID nyingine ya Mwigulu na akawa na nyingine ya Taswira. Sio vyema na ikiwezekana Management ya Jamii forums ilifanyie kazi ilo suala
 
Habari za uhakika kutoka vyanzo vyangu vya habari kutoka mikoani ,vimenibipu kuwa wale waTanzania walio wengi ambao walikuwa wakihamia kwenye Chama cha siasa cha Chadema wameanza kukisema na kukipuuza Chama hicho baada ya lile valangati lililotokea bungeni. hata kabla ya vulugu la bungeni wengi wa wanachama wa chama hicho walikuwa wanasusia mikutano na baadhi ya ofisi huwa hazifunguliwi kwa kuwa hakuna anaepita wala kuhudhuria mkutano ikiwa utaitishwa hali iliyopelekea Chama hicho kuan
 
Habari za uhakika kutoka vyanzo vyangu vya habari kutoka mikoani ,vimenibipu kuwa wale waTanzania walio wengi ambao walikuwa wakihamia kwenye Chama cha siasa cha Chadema wameanza kukisema na kukipuuza Chama hicho baada ya lile valangati lililotokea bungeni.

hata kabla ya vulugu la bungeni wengi wa wanachama wa chama hicho walikuwa wanasusia mikutano na baadhi ya ofisi huwa hazifunguliwi kwa kuwa hakuna anaepita wala kuhudhuria mkutano ikiwa utaitishwa hali iliyopelekea Chama hicho kuanza kufifia.

Baadhi ya wananchi wamesikika wakisema kuwa waliiona CDM kama mkombozi wao kwajinsi kinavyotangaza sera lakini kwa matendona mienendoya viongozi wao wameona yale yote ni danganya toto na sasa wanaelewa ni nani alie na nia ya kuwakomboa Watanzania toka kwenye makucha ya Sultani CCM.

Ubovu wa CDM ambao nimbaya hata kushinda ngozi ya shetani ni kule kuwaeleza wananchi mambo mengi na ahadi nyingi zikiwepo kurudi mara ingine kuwasimulia mapya ,wananchi wamesema huwa hawarudi na hata wakirudi huwa hawana jipya,na baya zaidi ni kule kwa viongozi wa Chadema kujijali wao wenyewe kwa wenyewe na kwa maslahi yao,hawaonyeshi nia ya kumjali mwananchi wa kawaida.

wananchi wengi wanaokumbwa na matatizo wakati , wa vurugu hizo zilitokana na kuwepo au kuhudhuria kwenye mikutano ya Chadema ,na kukumbana na vyombo vya dola kuwepokesi au kuswekwa lakapu,CDM huwa hawafuatilii wala kuwajulia na viongozi wao huwa hawawaoni wala kuwasogelea katika vituo ,labda pale tu kiongozi awe amekamatwa. Wananchi hao wamesema wamechoka kufanywa kama ngazi ya kupandia mtumbwi.

Your signature tells it all
 
Back
Top Bottom