Recent content by pmwak

  1. P

    Misemo ya bongo

    Cha mtu mavi ukikiiona kitemee mate Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  2. P

    Na Mkojo pia hautoki.

    Aaaaaaah teeeh alitaka utamu utamu! Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  3. P

    Hawa machizi kupona baadae saaana!

    Ivi inakuwaje mtu unatukana watu badala ya kuchangia mada@tinambuya Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  4. P

    Kulala Bila Kuvaa Nguo Yoyote

    Tatizo lingine la kulala uchi hasa kwa ndugu zangu wanaoota ndoto za vitendo ni hatari ukawii kuota unatembea alafu ukafanya kweli kutembea uchi nje ya nyumba ukiwa usingizn hatari hiyo! Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  5. P

    wanawake walio badili rangi ya nywele wana macho mia mia

    Ila ina ukweli asilimia kubwa ni milupo wanajiweka hivyo ili wawe easily Identified na wateja wao na wengi wanamalizia kwa kuvuta fegi! Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  6. P

    Eti hii ndo List ya wanyakyusa waliozamia Majuu:

    Mhhh alafu sio tu wanyakyusa hata wahaya coz Rihanna ni Rwebugisa Rwehimamu! Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  7. P

    Simu yako ya kwanza ilikuwa ipi?

    Mi ni motorola jeneza, philips jeneza alafu ikafuatia trium, siemens c25 twanga pepeta na kuendelea...
  8. P

    Mke wa kigogo afumwa kwenye danguro la machangudoa akijiuz

    Siku zote kunguru hafugiki! ukioa dege kumbuka hatobadilika kuwa kuku ndo maana jamaa akiondoka na dege linatoka!! Aaah teeeeh the kwii koh! Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
  9. P

    Wazo la leo wakuu!!!

    Hata uwe na usingizi vp..huwezi lalia makaa ya moto!! Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
  10. P

    Unyama -unyamani!

    Jamaa kamuaga mkewe kuwa anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe hana lolote kahamia kwa mchuchu nyumba ya pili toka kwake. Kachukua taxi kazunguka mtaa akajitoma ndani ya nyumba ya jirani. Siku ya kwanza akalala, asubuhi alipoamka akaamua kuchungulia kwake kukoje, si akamuona jamaa yuko nje...
  11. P

    Nani mpumbavu kati ya baba na mtoto

    Duuh dingi zimeruka kidogo hayuko sawa! Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
  12. P

    Ndoa changa ishuu!

    Wiki 2 baada ya haruc,mama alimuuliza bintiye, vp maisha ya ndoa? MTOTO: Du! kama British Airways. Mama akatoka mpaka airport kuangalia ratiba ya british airways..Akakuta kwa wk inasafir mara 7 na ktk kila siku 1 inaenda trip 3 na kila ikitua inafikia nyuma ya uwanja.. Mama akazimia. Sent from...
  13. P

    Mapenzi haya yanatesaje...

    INAUMA SANA CHEKI HII ,Unamnunulia demu CM mwanaume mwenzako anamnunulia VOCHA ! Huo ni Mgawanyo wa Majukumu. Unamrushia demu love SMS yeye ana foward kwa Mwanaume mwenzako ! Huo ni Mwingiliano wa mtandao. Unamnunulia demu CHUPI , Mwanaume mwenzako ANAMVUA, Huko ni kusaidiana ktk maisha...
  14. P

    wazo langu nionavyo mm...

    Nikichoka huwa sipendi sana kelele ndo maana kuna muda nasikiliza empty CD! Na nikichoka sana nasoma plain papers, pia nalala huku nimesimama kuepuka kelele za godoro pale ninapo jigeuza, na wakati mwingine nina switch off Tv, ndipo naangalia, na hata meseji hua na delete ndo nasoma. Yani huwa...
  15. P

    Binti aliyetoroka kijijini kwao moshi arejea

    Teeeh teeeh kwi koh! Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Back
Top Bottom