Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,117
- 16,500
Kwenye nyumba yako ndiyo hakuwezi kutokea moto wala kuingiliwa na majambazi? Hivi ikipigwa fatuma kwenye geti la nyumba yako unaweza kukumbuka hata kuvaa nguo? Na usishangae linapotua tu kwenye mlango tayari wao wameshazama ndani na wanakukuta ndiyo kwanza upo kama ulivyozaliwa. Itakuwaje? Pamoja na uhuru wa kuwa nyumbani kwako, kwa security ya bongo hii angalau bukta mhimu.
Maongezi yako yanaonesha unaishi Mwananyamala kwa Kopa. Mlango wa nje ni wa mbao na chumbani ni pazia au gunia. Mimi sidhani kama inachukua dkk ishirini kuvaa nguo emergence ikitokea.
Sasa kama unalala na nguo kwa kuogopa moto na majambazi, unafanyaje 'mandingo' na mwenza wako? Kinguo-nguo?
Kama wewe ni muoga kiasi mlango ukipigwa hutakumbuka kuvaa nguo basi naamini hata ukiwa na hizo nguo huwezi kukimbia. Watakukuta tu hapo umejisaidia haja zote na mkeo keshakimbia.
By the way, kwa manufaa yako na wenzako, siku nyumba yako ikishika moto na wewe ukawa trapped, vua nguo ndio upite kwenye moto. Ukipita na nguo, nguo zitashika moto na ndio utakuwa mwisho wa mbegu yako