wanawake walio badili rangi ya nywele wana macho mia mia

wanawake walio badili rangi ya nywele wana macho mia mia

Heshima yenu wakuu.Tangia mwaka jana nlikua nimefanya uchunguzi binafsi wa swala hili na kugundua kuwa wanawake wanao badili rangi ya nywele zao na kua ya dhahabu unakuta asilimia kubwa hawajatulia. Hawa wanatofautiana na wanao vaa mawigi. Hawa ninao wasema mimi ni wale wanao badili nywele zao za asili. Ukimchunguza utakuta ana tatoo za kudumu eidha kwenye matiti, mkononi, pajani na kiunoni. wanapenda sana starehe, hawana mapenzi ya kweli. wengi wao ni vicheche.huo ndo ukweli. samahani lakini. mia
Unafanya utafiti mdogo unatoa majibu makubwa rudia tena utapa mengi sana zaidi ya hayo
 
Ila ina ukweli asilimia kubwa ni milupo wanajiweka hivyo ili wawe easily Identified na wateja wao na wengi wanamalizia kwa kuvuta fegi!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Wapo kibiashara zaidi!kwa nini ujibadilishe?unaikosoa kazi ya mungu!unakuta kucha zina rangi za nyumba badala ya kupaka hina
 
Back
Top Bottom