Recent content by pmm7

  1. pmm7

    Kuna shida Gani kwenye Operation za Uzazi? Hivi vifo ni mimi tu naona?

    hivi daktari anazuia kifo au la? na je nani ana uwezo wa kujua sababu ya kifo?
  2. pmm7

    Naombeni ushauri kuhusu tatizo langu la urethra stricture

    tatizo umeanzia hospital za private ,udalali ni mwingi anyway urethral stricture zinatibiwa sana tu hapa bongo kwa operation inaitwa EPA (EXCISION AND PRIMARY ANASTOMOSIS)
  3. pmm7

    Kozi ya cardiology

    hiyo sio bachelor ni superspeciality
  4. pmm7

    Kozi ya cardiology

    lazima usome MD 5 years then IM 3 years then lastly cardiology 2 years vyuo najua MUHAS
  5. pmm7

    Tatizo la kuanguka ghafla

    aende hospital aonane na specialist wa magonjwa ya ndani au cardiologist mana hapo inaweza kuwa syncope au arrythymias so maswala ya ECHO na ECG yatamhusu na issue nyingine watakazosema hao mabingwa
  6. pmm7

    Kukojoa mara kwa mara

    Kapime tu sukari kwanza mengine ndo yafate
  7. pmm7

    Mikasa ya mahusiano ya shule

    kama vile unajiheshimu kama vile umeharibika
  8. pmm7

    Kwanini watu weusi wana IQ ndogo sana?

    ilianza europe kama superpower then america now asia is taking over and the last will be afro
  9. pmm7

    Omnipotence paradox na ukomo wa nguvu za Mungu

    wewe ni mse**nge
  10. pmm7

    Njia sahihi ya kufanya mazoezi - Shika jembe toa jasho kwishaa

    kwanza kitaaluma ya afya kama unaweza kutembea dakika 30 kwa siku tano za week ndo imeisha hivyo
  11. pmm7

    Kwanini Tanzania watu wanawahi kujenga kwanza ndipo miundombinu inafuata?

    penye miundombinu ,viwanja viko juu so watanzania wengi hawapigi hesabu bora wapewe kiwanja cha bei ya chini lakn umeme na maji au barabara iko mbali
  12. pmm7

    Mfano ukapata shida ya ghafla, una mtu wa kukusaidia kwa haraka?

    ndege wafananao huruka pamoja , kama ww binafsi huna uwezo wa kumsaidia mwingine akipata shida ya ghafla ujue hata contacts zako zimejaa watu ambao hawawezi kukusaidia
  13. pmm7

    DOKEZO Habari hii ikufikie Waziri wa Afya, ubabe wa Hospitali ya Muhimbili utaniua

    medical school wanasoma basics tu na common cases but for rare cases na complicated cases lazima radiologist atoe report yake ndo maana radiology ni specialty
  14. pmm7

    DOKEZO Habari hii ikufikie Waziri wa Afya, ubabe wa Hospitali ya Muhimbili utaniua

    basi wanataka isomwe upya kwa system ya muhimbili sababu system yao huwa iko vizuri sana ukilinganisha na za hospitali za chini
  15. pmm7

    Tanga: Mjamzito afariki dunia kituo cha afya kwa kukosa Tsh. 150,000

    hawana mamlaka ya kutoa mkopo wa mali za serikali
Back
Top Bottom