Mikasa ya mahusiano ya shule

Mikasa ya mahusiano ya shule

Indeed, sihitaji kukumbuka zile moment maana najionaga mjinga kweli. Acha ipite tu.
 
ilifika hatua shule nzima naonekana mtuwaajabu kuanzia wanafunzi wenzangu walimu hadi wazazi mtaani wakawa wanawaonya watotowao wakike wakaembali na mimi

darasa lasita ila mambo ya forma 6 kabisa yani.

hadi sasahivi mzee ananiona mhuni tuu

utotowangu nilikuwa mjinga wangono sanaa.
Kichomi
 
Bahati nzuri KUTIANA ni mojawapo ya basic needs za binadamu aliyefikisha umri stahiki
Bahati nzuri nimemjibu aliyeniambia sijiheshimu baada ya kuandika neno kutiana,sijakujibu wewe

Ama wewe na huyo pmm7 ni mtu mmoja?
 
Back
Top Bottom