Kukojoa mara kwa mara

Madammmony

New Member
Sep 27, 2023
2
2
Habari wapenzi! Umri wangu miaka 29 nina tatizo la kukojoa mara kwa mara nyakati za usiku yaani siku nyingine naweza aamka hata mara nne kwenda kukojoa na hii hali ni tangu utotoni. Mama yetu alikuwa anatuwekea "bobo" (kopo la kukojolea) ndani na ni karibia familia yetu yoote ipo hivyo kuamka amka usiku kukojoa. Sasa mimi hii hali inanikera, nifanyeje ili kukomesha hii hali.

Sent from my TECNO KG5p using JamiiForums mobile app
 
Habar wapenzi! Umri wangu miaka 29 ninatatizo la kukojoa mara kwa mara nyakati za usiku yaani siku nyingine naweza aamka hata mara nne kwenda kukojoa na hii hali ni tangu utotoni mama yetu alikuwa anatuwekea "bobo" (kopo la kukojolea) ndani na ni karibia familia yetu yoote ipo hvyo kuamka amka usiku kukojoa,, Sasa mm hii hali inanikera nifanyeje ili kukomesha hii hali

Sent from my TECNO KG5p using JamiiForums mobile app
Usinywe maji usiku. Je sukari ipo normal?
 
Duuh, pole jaribu kufanya hivi
1. Usinywe maji masaa 2 kabla ya kulala.
2. Ukinywa maji changanya kidogo na chumvi kwa mbali ndo unywe

Note: Mimi sio doc
 
Kunywa maji mwisho saa kumi jioni Zingatia hili. Ukimaliza kula unaeza kunywa glass Moja ya maji ili kuweka digestion vizuri. Ila usizidi saa kumi na Moja kunywa maji.
 
Habar wapenzi! Umri wangu miaka 29 ninatatizo la kukojoa mara kwa mara nyakati za usiku yaani siku nyingine naweza aamka hata mara nne kwenda kukojoa na hii hali ni tangu utotoni mama yetu alikuwa anatuwekea "bobo" (kopo la kukojolea) ndani na ni karibia familia yetu yoote ipo hvyo kuamka amka usiku kukojoa,, Sasa mm hii hali inanikera nifanyeje ili kukomesha hii hali

Sent from my TECNO KG5p using JamiiForums mobile app
Kapime Tezi dume.
 
Habar wapenzi! Umri wangu miaka 29 ninatatizo la kukojoa mara kwa mara nyakati za usiku yaani siku nyingine naweza aamka hata mara nne kwenda kukojoa na hii hali ni tangu utotoni mama yetu alikuwa anatuwekea "bobo" (kopo la kukojolea) ndani na ni karibia familia yetu yoote ipo hvyo kuamka amka usiku kukojoa,, Sasa mm hii hali inanikera nifanyeje ili kukomesha hii hali

Sent from my TECNO KG5p using JamiiForums mobile app
Mmepima sukari?
 
Mnaambiwa watu wamezaliwa hivyo nyie mnamuuliza kupima sukari. Hivi mtu tangu azaliwe hadi sasa 29 yrs kama angekuwa na sukari si angekuwa ameshaenda kama angekuwa hajapata tiba? Au hamsomagi maelezo mnakimbilia tu kuuliza maswali?
 
Mnaambiwa watu wamezaliwa hivyo nyie mnamuuliza kupima sukari. Hivi mtu tangu azaliwe hadi sasa 29 yrs kama angekuwa na sukari si angekuwa ameshaenda kama angekuwa hajapata tiba? Au hamsomagi maelezo mnakimbilia tu kuuliza maswali?
Umenichekesha
Watanzania wape kichwa cha habari tu, mengine hawana shida nayo
 
Hahaha watu wajuaji sana kumbe hawajui. Yaani maelzo yamejitosheleza tatizo ni la ukoo mzima tangu wazaliwe, wao wanauliza vipimo vya sukari.
Wako sawa, sukari linaweza kuwa tatizo la kurithi.
 
Mnaambiwa watu wamezaliwa hivyo nyie mnamuuliza kupima sukari. Hivi mtu tangu azaliwe hadi sasa 29 yrs kama angekuwa na sukari si angekuwa ameshaenda kama angekuwa hajapata tiba? Au hamsomagi maelezo mnakimbilia tu kuuliza maswali?
Sukari unaweza kaa nayo miaka 20 bila ya kujua
 
Onaa, kukojoa sana inategemea;

0. Muundo wa kibaiolojia wa miili yenu, wembamba saana, hukojoa sana, yaani hawa jamaa hawajui kabisa 'uchumi' wa maji. Pia saizi ya kibofu maana kama tu matumbo yanavyotofautiana. Na vibofu vilevile madam.

1. Tabia zenu za unywaji maji kama familia. Mfano kwetu tushaigana kila mmoja akiamka tu anakunywa maji, tofauti na familia nyingine ambapo wao wameigana kunywa maji hadi iwe kiu.
2. Tabia ya kuona kuwa kukojoa usiku sio ajabu, kama familia

Pia na mambo mengine huchangia mfano:
Jotoridi la eneo unalokaa, kama ni baridi usiku utajikuta unaamka sana kukojoa, kama ni joto hautaamka sana (au hautaamka kabisa)

So kwa kusema hayo una mawili unaweza kufanya:
1. Kuhamia mazingira yenye joto, ili utoe jasho zaidi badala ya kutegemea mkojo

2. Kubadili ufikiri na tabia ambako kutachukua hatua tatu au nne;
i. Hatua ya sasa, hatua ya sifuri ni self indulgence: yaani mwili wako unakiamrisha kukojoa muda wowote unaoutaka nawe unatii. Almost no controll
ii. Hatua inayofuatia ni self discpline, kwako ww ndo hatua ya kwanza. Tafuta kufanya kwa kujirudia (ikibidi kujilazimisha) kufanya matendo ambayo yakijumlishwa yanapelekea usikojoe saana usiku. Wameshauri wadau suala la kudhibiti muda wa kunywa maji, Mazoezi nk

iii. Baada ya hapo utafikia self control, hapa mwili utaanza kukuelewa na kuitikia ipasavyo. Hata ukiishia hapa inatosha kabisa.

iv. Hatua ya mwisho na ya nyongeza ni self mastery. Ambapo unaweza kuuamurisha kabisa mwili wako kwamba utumie mbinu nyingine(labda jasho, au kuconvert to uric acid) lakini usikusumbue kukojoa usiku. Hatua hii ni ya kitata zaidi. Self mastery ni nomaa😱

Nimeandika kwa kirefu kama msaada, hizi ni hatua mtu yeyote anaweza kupitia kurekebisha tabia yoyote, ama kuiacha au kuianza. Inaanza tu na NIDHAMU BINAFSI, SELF DISCPLINE💪
Screenshot_20231115-212052_Notein.jpg
 
Back
Top Bottom