Naombeni ushauri kuhusu tatizo langu la urethra stricture

LUCAS HOOD

Member
Oct 11, 2019
90
86
Habari zenu wana jamvi,

Bila kupoteza muda mimi ni kijana mdogo 20s

Nimepata TATIZO naliona pigo kubwa katika maisha yangu.

Nilipata ajali niladondokea kinena yani njia ya mkojo ikaziba kabisa ila jogoo anawika.

Nipo katika process ya matibabu ila natumia CATHETER kujisaidia haja ndogo mwezi wa 3 sasa.

Nimehudumiwa na hospita kama KAIRUKI na TMJ.

Katika kipimo nilichofanya juzi kinaonesha hali sio nzuri.

Daktari ameishauri nahitaji OPERATION SURGERY KUBWA. na wataalamu wapo nje ya TZ ila kuna jopo la wataalamu kutoka UJERUMANI wanafanyaga kambi hapa nchini hivyo ni vema nisubiri huduma yao kwasababu wao ndio PROFESSIONAL wa tatizo langu.

Leo nimepata wazo kwakuwa ajali nimepata kazini (mechanic technician) na ni kazi ya mkataba , kwanini nisiombe referral letter ya dr.kwenda kazini ili kupata sponsor ya matibabu.

Ushauri wenu wana jamvi

Mungu nivushe
 
TMJ? Kumradhi, hao watu siwaamini…. Tatizo kidogo wanaconclude to operation. Yan yan jikaze uende Hosp ingine, ila TMJ mhhh labda wawe wamebadilika ‘nawajua wa mwaka 2019, ah wanapenda sana operation…
 
Namfaham Dr mmoja hivi nae alipata hiyo condition,

Alifanyiwa operations 8 ya tisa ndo ilileta positive outcomes na hii ni baada ya kutoa ngozi sehemu nyingine (mdomoni ndani if not mistaken) na kutumia kuziba kwenye hiyo urethra sababu bila hivyo kidonda kilikua kinapona kwa kutengeneza stricture tena.

Hizo Ops zote alifanyiwa Hospital moja ya Dar, Private ina gharama ila jina ndo nimesahau
 
Habari zenu wana jamvi,
Bila kupoteza muda mimi ni kijana mdogo 20s
Nimepata TATIZO naliona pigo kubwa katika maisha yangu.
Nilipata ajali niladondokea kinena yani njia ya mkojo ikaziba kabisa ila jogoo anawika
Nipo katika process ya matibabu ila natumia CATHETER kujisaidia haja ndogo mwezi wa 3 sasa.
nimehudumiwa na hospita kama KAIRUKI na TMJ .
Katika kipimo nilichofanya juzi kinaonesha hali sio nzuri ..
Daktari ameishauri nahitaji OPERATION SURGERY KUBWA. na wataalamu wapo nje ya TZ ila kuna jopo la wataalamu kutoka UJERUMANI wanafanyaga kambi hapa nchini hivyo ni vema nisubiri huduma yao kwasababu wao ndio PROFESSIONAL wa tatizo langu.
Leo nimepata wazo kwakuwa ajali nimepata kazini (mechanic technician) na ni kazi ya mkataba , kwanini nisiombe referral letter ya dr.kwenda kazini ili kupata sponsor ya matibabu.
Ushauri wenu wana jamvi
Mungu nivushe
DR Mambo Jambo Lovie Lady Carlos The Jackal toeni ushauri hapa wakuu.

Pole sana kijana
 
Habari zenu wana jamvi,
Bila kupoteza muda mimi ni kijana mdogo 20s
Nimepata TATIZO naliona pigo kubwa katika maisha yangu.
Nilipata ajali niladondokea kinena yani njia ya mkojo ikaziba kabisa ila jogoo anawika
Nipo katika process ya matibabu ila natumia CATHETER kujisaidia haja ndogo mwezi wa 3 sasa.
nimehudumiwa na hospita kama KAIRUKI na TMJ .
Katika kipimo nilichofanya juzi kinaonesha hali sio nzuri ..
Daktari ameishauri nahitaji OPERATION SURGERY KUBWA. na wataalamu wapo nje ya TZ ila kuna jopo la wataalamu kutoka UJERUMANI wanafanyaga kambi hapa nchini hivyo ni vema nisubiri huduma yao kwasababu wao ndio PROFESSIONAL wa tatizo langu.
Leo nimepata wazo kwakuwa ajali nimepata kazini (mechanic technician) na ni kazi ya mkataba , kwanini nisiombe referral letter ya dr.kwenda kazini ili kupata sponsor ya matibabu.
Ushauri wenu wana jamvi
Mungu nivushe
pole chief ,dunia hii kuna muda mwingine inaegemea upande mmoja tu !ambao ni matatizo
 
Imeniuma sana kusikia umepata kazini, hivi ni vita, wala usitafute ushauri, pigania afya yako, peleka kazini, omba interview uonekane, Hakika utapata ufadhili.
 
pole sana, siku ukihitahi support ya kifedha kwa humu fuata taratibu, wengine tutafurahi kukuchangia chochote.
 
TMJ? Kumradhi, hao watu siwaamini…. Tatizo kidogo wanaconclude to operation. Yan yan jikaze uende Hosp ingine, ila TMJ mhhh labda wawe wamebadilika ‘nawajua wa mwaka 2019, ah wanapenda sana operation…
Naona walimu wamepumzika Siku hiz madaktar mnawaandama wamewakosea nini?
 
tatizo umeanzia hospital za private ,udalali ni mwingi
anyway urethral stricture zinatibiwa sana tu hapa bongo kwa operation inaitwa EPA (EXCISION AND PRIMARY ANASTOMOSIS)
 
Habari zenu wana jamvi,

Bila kupoteza muda mimi ni kijana mdogo 20s

Nimepata TATIZO naliona pigo kubwa katika maisha yangu.

Nilipata ajali niladondokea kinena yani njia ya mkojo ikaziba kabisa ila jogoo anawika.

Nipo katika process ya matibabu ila natumia CATHETER kujisaidia haja ndogo mwezi wa 3 sasa.

Nimehudumiwa na hospita kama KAIRUKI na TMJ.

Katika kipimo nilichofanya juzi kinaonesha hali sio nzuri.

Daktari ameishauri nahitaji OPERATION SURGERY KUBWA. na wataalamu wapo nje ya TZ ila kuna jopo la wataalamu kutoka UJERUMANI wanafanyaga kambi hapa nchini hivyo ni vema nisubiri huduma yao kwasababu wao ndio PROFESSIONAL wa tatizo langu.

Leo nimepata wazo kwakuwa ajali nimepata kazini (mechanic technician) na ni kazi ya mkataba , kwanini nisiombe referral letter ya dr.kwenda kazini ili kupata sponsor ya matibabu.

Ushauri wenu wana jamvi

Mungu nivushe
Habari!
Pole kwa unayopitia.

Hapa tunashauri kwa ujumla, ingawa kiuhalisia inahitaji kuona kiasi na aina ya kovu pamoja na eneo husika. Hapo ndo utaweza kusema kwa hali yetu twaweza au hatuwezi.

Hayo yote hapo juu ni msingi wa aina ya matibabu unayohitaji kufanyiwa.

Kimsingi kulingana na aina ya wahusika, Waajiri na Insurances huwa zinahitaji recommendations toka hospitali za serikali. Moja ni katika kuona kuwa unachohitaji kufanyiwa nje ya nchi hakifanyiki hapa kwetu au kinafanyika bila mafanikio mazuri au pia kuepuka 10% za rufaa.

Unaweza kupeleka taarifa yako toka hospitali binafsi, mwajiri akaomba ufuatilie kwenye hospitali ya serikali. Usisite kufanya hivyo, kwani ni mambo ya kawaida. Hili ni
suala la kulingana na ujuzi, utaalamu na teknolojia.

Kuna wakati wataalamu wetu huweza kulifanya na lisiwe na mafanikio (kulingana na aina ya tatizo kiasi vs ujuzi vs utaalamu na mengineyo).

Nakumbuka kuna mzee mmoja alifanyiwa operatipn ya tezi dume kijijini. Watu wakavuruga njia ya mkojo, alipokuja mjini huku kuna mtaalamu mjuvi akamwambia hii ni mpaka nje ya nchi na uwekewe ngozi nyingine, nadhani ni kutoka kwenye lips au ulimi.

Wengine wakasema tumaweza, alikula visu kama mara nne, mwisho mikono ikanyanyuliwa juu, shida ikawa nani asign fomu mtu aende nje kwa mifumo rasmi? Mwisho wa siku familia ikajipigapiga akaenda kama mtu binafsi. Alifanikisha matibabu ndani ya mwezi na kurejea wakati alikuwa mjini Dar es salaam kwa miezi si chini ya sita kwa suala lilelile.

Hivyo, suala kubwa ni kuomba Mwenyezi Mungu pia watu watoe maamzi kulingana na hali halisi(kuukubali ukweli na kufanya kwa kadri yake).

Matibabu mema.
 
Back
Top Bottom