Kwasasa naona kuna ugumu mambo ya hardcopy wanataka kupunguza/kuondoa kabisa barua utaona kwenye mfumo pale pale lengo ni kuondoa ule ukiritimba wa mtu kutokumsainia barua mtumishi kwa wakati ndio maana hata msimamizi au mkurugenz asiposaini katika muda uliowekwa inaondoka automatic kwenda hatua...
Vacancy kwa ninavyoelewa kama sehemu unayoenda hujui kama nafasi ipo ndio unatuma kwanza hiyo wakikubali unafanya transfer
Transfer uliyofanya kwa upande wangu uko sahihi kabisa kwasababu nafasi ilikuwepo kwahiyo kinachosubiriwa wenyewe wataangalia cv ya nani itawatosha watamjibu au kama...
Mtafutie tiba hiyo hali itakuwa inampa mawazo au mweke karibu zaidi kwa story na mtoke out mara nyingi asihisi kama hali aliyonayo kwa upande wake kwako imeshakuwa mzigo ili awe huru . Yote ya Yote siku ngumu hazikawi kuisha mvumilie
Tulia kwasasa na kuoa ni kutafuta kama kilimo huwezi ukawa na mmoja ukaenda naye mpaka mwisho weka plann ya wengi ndani ya mwaka mmoja utamuona aliye sawa kwako nenda naye huyo huyo mmoja anaweza badilila mbeleni ukarudi nyuma mwenzako unayemuongelea ulikuwa unamuota aliweka mitego mingi ndio...
Vumilia ndugu, wana njia nyingi za kuwapunguza hata kupitia mitihani lakini na walimu nao wanavumilia ili wawasaidie utawakatisha tamaa sasa. Hata kwenye ajira mtaani wako wengi lakini nafasi zinatangazwa chache na vyuo havisitishi kuendelea kutoa elimu
Naomba angalia na ushauri wa huyu nairobi wapo vizuri nilishaumwa nikafanyiwa incision biospy selian arusha kulikuwa kuna dokta wa kizungu pale miaka hiyo aliamua kunisaidia nilimwambia siwezi kwenda nairobi akanipa option ya kutuma sample nairobi hospital kuchunguzwa ilichukua siku 21 majibu...
Sina uzoefu lakini acha nitoe ushauri tu Mungu mwema anajua gharama muda maumivu familia mnayopitia hakika mke atakuwa sawa labda Aga Khan Hospital nasikia wapo vizuri, Dar es Salaam ulizia bingwa wa mfumo wa mkojo (Urologists)
Mkuu jambo la kufanya inaonekana muda mwingi akili yako kuna kitu unawaza kukitekeleza au jinsi kilivyo hata unapotekeleza majukumu mengine unafanya lakini kumbukumbu zake hazipo kwasababu kuna jambo umelipa muda zaidi , ili uweze kama kuna ishu unaiwaza sana chukulia kawaida ili kisiwe...
Asante sana kunipa muongozo ngoja nianze na hii kwa kujitibia kufata muongozo wa kula kwa awali nilionekana nina changamoto ya maziwa na bidhaa zinazohusiana na hivyo pamoja na kitu chochote kinachotumia nyanya pamoja nimeacha lakini hakuna kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.