Unawashauri nini wanaotaka kuingia kwenye forex ili wasije fikia hatua uliyopo sasa au aliyepo forex na majanga haya hayajamkuta nini afanye ajitoe au aendelee kupambana
Mbona utumishi kama walidai kila kitu kwenye mfumo na barua inapatikana kupitia mfumo baada hii pepmis kuanza kazi jaribu kupiga call centre ya utumishi kabla haujaenda uwaelezee
Kwasasa naona kuna ugumu mambo ya hardcopy wanataka kupunguza/kuondoa kabisa barua utaona kwenye mfumo pale pale lengo ni kuondoa ule ukiritimba wa mtu kutokumsainia barua mtumishi kwa wakati ndio maana hata msimamizi au mkurugenz asiposaini katika muda uliowekwa inaondoka automatic kwenda hatua...
Vacancy kwa ninavyoelewa kama sehemu unayoenda hujui kama nafasi ipo ndio unatuma kwanza hiyo wakikubali unafanya transfer
Transfer uliyofanya kwa upande wangu uko sahihi kabisa kwasababu nafasi ilikuwepo kwahiyo kinachosubiriwa wenyewe wataangalia cv ya nani itawatosha watamjibu au kama...
Mtafutie tiba hiyo hali itakuwa inampa mawazo au mweke karibu zaidi kwa story na mtoke out mara nyingi asihisi kama hali aliyonayo kwa upande wake kwako imeshakuwa mzigo ili awe huru . Yote ya Yote siku ngumu hazikawi kuisha mvumilie
Tulia kwasasa na kuoa ni kutafuta kama kilimo huwezi ukawa na mmoja ukaenda naye mpaka mwisho weka plann ya wengi ndani ya mwaka mmoja utamuona aliye sawa kwako nenda naye huyo huyo mmoja anaweza badilila mbeleni ukarudi nyuma mwenzako unayemuongelea ulikuwa unamuota aliweka mitego mingi ndio...
Vumilia ndugu, wana njia nyingi za kuwapunguza hata kupitia mitihani lakini na walimu nao wanavumilia ili wawasaidie utawakatisha tamaa sasa. Hata kwenye ajira mtaani wako wengi lakini nafasi zinatangazwa chache na vyuo havisitishi kuendelea kutoa elimu
Naomba angalia na ushauri wa huyu nairobi wapo vizuri nilishaumwa nikafanyiwa incision biospy selian arusha kulikuwa kuna dokta wa kizungu pale miaka hiyo aliamua kunisaidia nilimwambia siwezi kwenda nairobi akanipa option ya kutuma sample nairobi hospital kuchunguzwa ilichukua siku 21 majibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.