Usijali mke wangu pia alijifungua mtoto akiwa na miezi saba akawekwa kwenye chumba cha joto kama siku tano tukarudi nyumbani sasaivi anamiezi 9 anaendelea vizuri kabisa usiogope labda gharama za sindano sijui ya kukuza mapafu zinauzwa elfu 15 kila siku kwahizo siku ambazo atakuwa chumba cha joto...
Kabla hujaacha kazi hakikisha hii uliyonayo umejenga hata nyumba ya kufikia na imeisha na unamtaji wa kuanzia maisha au utafute kazi nyingine kabla hujaacha hiyo maana unayotaka rahisi malipo ni kidogo hutajenga
Isimani Kijiji gani isimani ni kubwa kuna sehemu hazina network ni shida , kuja kwako mjini ni rahisi njia ya Dodoma magari mengi pia kuna Daladala ndogo kwa ujumla kwa fursa huko ni kilimo kama utaamua kujikita na kilimo utafanikiwa ardhi nzuri huko ila kilimo cha msimu mara moja kwa mwaka
Ni vyema ukasema tu kama ni wewe unatibu au mtu mwingine hata mwenye changamoto kama wewe aweze kupona sio wote wataweza kukufikia inbox ila wengine wakiona hapa utakuwa umefanya jambo kubwa la baraka kuna watu tunakutana nao ila ukimwambia mpaka tumtafute inbox na wakati huo haupatikani labda...
Naomba tafuta vithibitisho vya hospital ya serikali peleka halmashauri unapotanya kazi mwandikie barua Hr kwenda kwa mkurugenzi wataangalia wakupe masijala au hata ofisi kuu ukae masijala au maulizo
Safi mama chapa kazi hakika unaitendea haki nafasi yako , na watendaji wa mitaa au wenyeviti najiuliza mpaka taarifa imefika ngazi ya juu hawakujua, kwa kweli hii ni baraka kwako kupata taarifa nakufanyia kazi
Labda cha kufanya kama bado hali ya kubet unayo tafuta betwall playstore ile unajiwekea tu mkeka Hautumii hela ili uone trend ya kukosa inavyokuwa kubwa ndio uone je ingekuwa ni hela halisi jinsi ambavyo ungepoteza.
Pole ndugu usiwaze ulichopoteza kuwa njia pekee ya kurudisha ni kubet badilisha mwelekeo maana wahenga wanasema hasira hasara kadri unavyotamani kurudisha ndio unapoteza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.