Kwanza, ni muhimu kutofautisha kati ya maandamano ya amani na vurugu. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatambua haki ya wananchi kuandamana kwa amani kama njia ya kuwasilisha maoni yao. Ikiwa maandamano haya yanafanyika kwa amani, basi kuyatumia kama kigezo cha kuharisha uchaguzi...
Maandamano na Mauaji: Tanzania Katika Msukosuko wa Kisiasa
Katika wiki ya uchaguzi mkuu wa 2025, Tanzania imeingia kwenye kipindi kigumu cha kisiasa. Maandamano makubwa yameripotiwa katika miji mikuu kama Dar es Salaam, Arusha, Mwanza, Mbeya, na Moshi, yakichochewa na madai ya ukiukwaji wa haki...
You are missing the point here. Makonda has a great connection with the current President. He was just waiting for the right time, CCM have a very clever intelligence unit that plays with Tanzanians minds. I must say Makonda wont last that long in that position. Unless CCM decides to use...
Hii ndio biashara isiyokuwa na Stress? We jamaa acha kumdanganya. Hakuna Biashara isiyokuwa na stress. Million 20 ni pesa nzuri for a start, nadhani kwanza afanye research.
Asante sana mheshimiwa Zitto Kabwe kwa kulitazamia suala hili, binafsi ninaumizwa sana na tatizo la Maji kwa jinsi linavyotukumba nchi yetu ya Tanzania. Tanzania ni nchi yenye maziwa na mito mingi sana na ni kati ya Nchi inayozungukwa na Bahari ya Hindi lakini bado ni nchi yenye matatizo makubwa...
Kwa walimu wenye Degree kama Yako ni rahisi sana kuajirika, tengeneza mazingira mazuri ya ww kupata Experience na hicho ulichosoma. Fanya 1. Tafuta Volunteering experience kwenye Shule, NGOs - hii inaweza kuwa Internship pia. Kuna mashirika yanataka watu wenye ICT skills. Andika Request yako ya...
Habari Ndugu zangu..
Nimekuwa nikisoma vitabu mbalimbali kupitia maktaba za serikali, ila nmepitia online pia. Kusoma ni jadi yangu na kupitia vitabu najiona kama naongeza vitu vingi sana ambavyo pengine nisingevijua kabisa.
Kwa yeyote anayejua site au ana pdf ya vitabu tofauti kuhusu jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.