Basi haya yatakuwa ya kwanza. Tunaandamana kwa amani, kushinikiza watoke. Wakitoka tayari tushafanya mageuzi.Hakuna maandamano ya amani yenye lengo la Revolution. Nakataa. Polisi na JWTZ msipumbazike na hii hadaa ya wanyonya koni. Jiandaeni kisawasawa kutumia silaha zote
Tuliwaambia maandamano yapo mkatubeza lkn kadri siku zinavyosogea ndio akili zinaanza kuwarudi, mwanzo mlisema malaya wa Calfonia huwezi kuongoza maandamano Tanzania, sasa mnasema jeshi lijiandae kisawasawa, na bado hadi maji myaite mma.Hakuna maandamano ya amani yenye lengo la Revolution. Nakataa. Polisi na JWTZ msipumbazike na hii hadaa ya wanyonya koni. Jiandaeni kisawasawa kutumia silaha zote
Hahahahahahaaaaaaa. Na kile kibibi gagula cha InstaMkuu bora umewakumbusha waweke wazi kabisa wasije wakatoa lawama....watu wana agenda zao nyuma ya maandamano ndio maana hawaeleweki kama wanataka kufanya mapinduzi au maandamano ....hivyo kama wanataka kufanya mapinduzi wakae wakijua kuwa silaha kali za moto na mizinga itabidi itumike kudhibiti mapinduzi.....
hahahaha kama namuona Zitto anavyo jificha nyuma ya twitter
Hatuogopi. Tunawatahadhalisha mapema. Tupo jikoni tunaandaa mchuzi
The Hague itawahusu!Mapinduzi hudhibitiwa kwa silaha za moto. Nawaonya tena
Unachotakiwa kujiuliza wewe unakwenda kushiriki mapinduzi au unakwenda kushiriki maandamano? kama ni mapinduzi lazima silaha za moto zitakukabiliMtoa mada hebu tuambie maana ya mapunduzi? mapinduzi yanayoenda kufanyika ni mapinduzi ya kutandika uhuru wa demokrasi ambapo kubwa la madikteta limevuvja katiba kwa kuzuia kila kitu hata ukilikosoa linakuuwa kwa bunduki.
So long mmetoa muda wa kutosha na sisi tukajipanga, haki ya nani siku hiyo mtatafuta pa kukimbilia. stock zote za silaha zilizotapakaa nchi nzima siku hiyo zitakuwa nje nje. Na kwa vile tupo na maandalizi ya Siku ya Muungano, tutatest kila silaha ili tuone kama zipo kisawasawa. Maana nyingine zimekaa muda mrefuTuliwaambia maandamano yapo mkatubeza lkn kadri siku zinavyosogea ndio akili zinaanza kuwarudi, mwanzo mlisema malaya wa Calfonia huwezi kuongoza maandamano Tanzania, sasa mnasema jeshi lijiandae kisawasawa, na bado hadi maji myaite mma.
Tusibeze, maandamano yapo ila kufanikiwa au kutofanikiwa kwake inategemea Polisi imejipangaje
Sasa wewe hofu yako nini?Mapinduzi hudhibitiwa kwa silaha za moto. Nawaonya tena
Hayo unasema wewe. Ila walioandaa wanalenga Revolution ya kumuondoa Ngosha Madarakani. Haki ya nani siku hiyo lazima watafute pa kujifichaLugha tu iliyokuja na akina Vasco Da Gama imeleta shida, ni Demonstration mkuu je hiyo vipi Lizaboni nayo ina shida hapo mtawatuma vijana wa kazi pia....
juzi pale kinondoni Mbowe alijificha kwenye duka la mwana CCM HAHAHAHahahahahahaaaaaaa. Na kile kibibi gagula cha Insta
Acha kutisha watu!!kwanza hata maandamano ya amani mara ya mwisho kuruhusiwa ilikuwa ni lini?So long mmetoa muda wa kutosha na sisi tukajipanga, haki ya nani siku hiyo mtatafuta pa kukimbilia. stock zote za silaha zilizotapakaa nchi nzima siku hiyo zitakuwa nje nje. Na kwa vile tupo na maandalizi ya Siku ya Muungano, tutatest kila silaha ili tuone kama zipo kisawasawa. Maana nyingine zimekaa muda mrefu