Hebu ulizia bei ya hivyo vitu walivyovaa thamani yake unaeza ukauza hio nyumba yenu ya urisi? Halafu Ujue mwenzio ni mwanamitindo wewe endelea kuvaa Madera tu
Yaani laki tano ni pesa ambayo inatosha kabisa kuingia Dukani tena kifua mbele kwa vile akili zako ni za kushikiwa ndio umeona utafute matapeli humu mitandoni
Hivi saivi kuna mabasi yanatoka muitipuez kuja mikoa mengine yakiwa yamebeba wananchi wa Mozambique kuwarudisha kwenye mikoa yao kwa ufupi hawatakiwi watu wasio na shughuli maalum hatakiwi mfanyabiashara wa mkoa mwengine
Mm niko MSUMBIJI wageni wote hawatakiwi maeneo ya migodini kule muitipuez sio WATANZANIA tu wanaofukuzwa hata mozambicano ambao sio wazaliwa wa muitipuez na hawana kazi maalumu nao wanafukuzwa mm niko mji mwengine mbona huku kuko Freshi kule muitipuez kuna Madini ya ruby serikali haitaki kuona...
Kama kuna mtu anafahamu
Au anamfahamu mtu Mwenye kumiliki kampuni ya viloba naomba anielekeze nipate mawasiliano nae kabla hajafunga kiwanda kuna USHAURI nataka nimpatie sehemu ambayo anaweza kuweka kiwanda chake nje ya nchi bila ya kusumbuliwa na ulinzi atapewa,
Ukisema cha nini mwenzi.........
Mipaka haijafungwa watu wanapita kama kawaida ila ukaguzi ndio umezidishwa
Hawatakiwi wageni sehemu za migodini mbona sehemu zilizo jirani n hapo hali iko shwari?
Hii tabia ya Polisi wa MSUMBIJI kuwanyanyasa raia wa kigeni si ngeni
Ila kwa sasa wamekuwa wana deal sana na wageni wanaoishi montipuez sababu nimeongea na jamaa yangu yuko Pemba cabo del gado amenambia wao wako salama tu hata hao wanaotoka montipuez wanakimbilia huko Pemba
Kikubwa ni kwamba...
Mm niko MSUMBIJI vile vile kwa anaeilewa Mozambique hii ni kama kawaida yao huwa wanafanya kila baada ya miaka kadhaa na sio tu kwa WATANZANIA ni kwa wageni wote na huwa inafanyika hivi kila mkoa Kwa wakati wake.
Ila hili la kubakwa ni geni siwezi kukataa au kusibitisha
Na hii kamata kamata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.