Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,320
- 18,595
Nitajie bei kamili ya lg smart TV inch 32LG nchi hizo huwa hazizidi laki 7 so inategemea, alafu Wengi wanaziogopa mtumba ila mtumba ni konki cuz tunazozichukua ni kutoka Dubai na Uingereza...
Pia nipe bei ya lg inch 32 TV ya kawaida
