Recent content by planner man

  1. P

    Ulianzaje kukaa gheto?

    Big up man mi changamoto kibao nimepitia na mpk leo cjapata ahueni otherwise uzima upo may be kesho things might be ok
  2. P

    My fiancee who was HIV+ now tested HIV-

    Ndugu ungemaliza kabisa hivyo vyakula ..
  3. P

    My fiancee who was HIV+ now tested HIV-

    Wakuu nina jambo la ajabu! Mwaka 2012 nilipima nikawa HIV+ nikatumia doze for like several years ila kama mwaka nimeacha mwili uko poa kishenz nimegain energy sana mpk nahisi sina ile maneno tena! Kuna uhusiano gani kutumia arv's na kua mgonjwa sana na kutotumia ukawa normal (best yangu kapenda...
  4. P

    Utafiti: Watumiaji wa simu za Tekno huweka nyimbo za kawaida kama miito ya simu zao

    Nina Y2 japo inastuck balaa ila nipo Jamii forum
  5. P

    Mbunge Ally Kessy: Road licence ihamishiwe kwenye mafuta(petrol & diesel)

    Katika mambo muhinu yatakayoleta pesa bila shida ni hilo na uhalisia let's say hata wakiweka shilingi hamsini tu watapata income kubwa sana! basi inayotumia 600 lts a day italipa 30000 Kwa siku times 30 Kwa mwezi pekee itakua 900000 Kwa mwaka ni hela ya kutosha! na wakifanya hivyo hata machines...
  6. P

    UTAPELI: Kampuni ya D9 (DNINE) ni kina nani? Nani kawapa kibali cha kazi Tanzania?

    *D9 Clube inavyowatesa wengi- Imesajiliwa Tanzania? Sio utapeli?* Na Melkizedeck Karol Maoni haya ni marefu kidogo lakini nimeona niandike kwa urefu ili nieleweke vizuri. Nimefuatwa mara kadhaa na marafiki wakinitaka nijiunge na biashara inayoendeshwa na kampuni iitwayo D9 Clube. Pia, wapo...
  7. P

    Waliouza magari, kuyatupa bila kuitaarifu TRA imekula kwao

    Bandugi naombeni msaada kidogo hapa road licence ni leseni ya matumizi ya barabara au ni kodi tofauti? Cause kama ndo hivyo machine au gari isiyotumia barabara leseni ya nini? Please naomba msaada kwenye hili
  8. P

    Hivi wanawake wote wangekuwa kama Joyce Kiria ingekuwaje?

    Mtoa mada ana point all in all Joyce alitakiwa aliongeelee hilo la mumewe ndani not as public as alivyofanya! Hivi kama hafurahii what comes after ukuta kwann hakukaa na kujadili na mumewe kama mwili mmoja akatoka nje kwa public? Ndoa ndoano afunge avue Sio kupiga kelele! By the way sidhani kama...
  9. P

    Nchambi ni msukuma kama Patel alivyo mbulu na Harbinder alivyo mnyalu lakini...

    Hivi kwanini maeneo ya wachaga hakuna hao machotara? Rombo hakuna,Kibosho hakuna Machame sijawahi sikia hata wapare hakuna hao wageni wenyeji wanaopewa uongozi wenzetu VP??? Kunani?
  10. P

    TANESCO wanamhujumu Magufuli na Silaa

    Mwanza nipo Igoma Nina zaidi ya wiki 3 umeme nakutana nao usiku kwa usiku siku mbili zilizopita unarudi saa 5 usiku 12 asubuhi WANAKATA!!!
  11. P

    Magufuli aonesha vipaumbele vyake

    CCM hii hii au nyingine?
  12. P

    Yaliyojiri Mkutano wa Kihistoria wa CHADEMA Mwanza, Ulirushwa live kwenye TV na Radio

    Wakuu Niko Mwanza nimekutana na matangazo kwa ujio wa makamanda ila sikusikia ni viwanja gani Tafadhali update itakua wapi nishiriki kwa mara ya kwanza katika mkutano wa mabadiliko.
  13. P

    Mwigulu Nchemba, tafadhali kafute mabango yako barabarani!

    Tanzania tunatafuta kodi kuendesha nchi na ilhali rahisi kuzipata ? Anatakiwa alipie kila toleo tuingize Rea
  14. P

    Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro hali tete

    Ishu ya kugawa majimbo naiona ni upande wa yanayoongozwa na upinzani tu! Vyovyote itakavyokua kuna possibility kubwa kuwapa ukawa more chance of winning. All in all Mbatia atapita Vunjo! Mrema hana chake CCM kwishney. Really fact hakuna jimbo linalojitambua kama Vunjo katika Majimbo yote...
Back
Top Bottom