Nchambi ni msukuma kama Patel alivyo mbulu na Harbinder alivyo mnyalu lakini...

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,772
36,664
Mbunge wa Kishapu ndugu Suleiman Nchambi ni msukuma, hivyo nimtoe shaka mbunge wa Mlimba (Chadema) bi Suzan Kiwanga kwa kusema kuwa "tuna shaka na uraia wako" leo mapema bungeni akichangia mjadala! Kwa sasa uraia wake hauna mushkheri yoyote ile! Ni raia halali wa Tanzania!

Vilevile mbunge wa Bababti ndugu Jituson Patel ni mbulu 'piwa' anajua kimbulu na ni mtu wa kule kaskazini! Hana shaka yoyote ile na hivyo vijiasili vya kule kwa 'wadosi' vimetokea bahati mbaya tu! Usishangae raia mweusi zaidi ya Chris Lukosi kuzaliwa China!
Harbinder Sethi ni mnyalu wa Iringa! Amezaliwa pale na kukulia pale!

Hawa watu wakitaka kujijua kuwa ni raia halali ama lah! Basi isiwe kazi nzito sana! Waanze kuwapinga Wathibitishaji wa raia halali wa Tanzania (CCM). Hiki chombo ndicho kikisema kuwa wewe siyo raia basi hautakuwa raia kweli!

Kabla Husein Bashe kuwa raia aliyehalalishwa kuwa ni Msomali na hiki chombo (CCM) alikuwa raia halali kabisa wa Tanzania! Alikuwa mnyamwezi! Kabla Jenerali Ulimwengu hajawa raia aliyethibitishwa na CCM kuwa ni mnyarwanda, alikuwa raia halali kabisa wa Tanzania! Kabla Maalim Seif Sharif hajawa 'chotara Hizbu' alikuwa mpemba safi kabisa!

Hawa watu wasipate shida sasa kwani ni raia safi kabisa! Huwa wanasema "every dog has its day"
 
pamoja na kwamba sipendi ubaguzi lakini napinga mtu mweusi tiii kama Lukosi eti kuwa raia wa china , haitawezekana .
 
Mbunge wa Kishapu ndugu Suleiman Nchambi ni msukuma, hivyo nimtoe shaka mbunge wa Mlimba Chadema bi Suzan Kiwanga kwa kusema kuwa "tuna shaka na uraia wako" leo mapema bungeni akichangia mjadala! Kwa sasa uraia wake hauna mushkheri yoyote ile! Ni raia halali wa Tanzania!

Vilevile mbunge wa Bababti ndugu Jituson Patel ni mbulu 'piwa' anajua kimbulu na ni mtu wa kule! Hana shaka yoyote ile na hivyo vijiasili vya kule vimetokea bahati mbaya tu! Usishangae raia mweusi zaidi ya chris Lukos kuzaliwa China!
Harbinder Sethi ni mnyalu wa Iringa! Amezaliwa pale na kukulia pale!

Hawa watu wakitaka kujijua kuwa ni raia halali ama lah! Basi isiwe kazi nzito sana! Waanze kuwapinga Wathibitishaji wa raia halali wa Tanzania (CCM). Hiki chombo ndicho kikisema kuwa wewe siyo raia basi hautakuwa raia kweli!

Kabla Husein Bashe kuwa raia aliyehalalishwa kuwa ni Msomali na hiki chombo (CCM) alikuwa raia halali kabisa wa Tanzania! Alikuwa mnyamwezi! Kabla Jenerali Ulimwengu hajawa raia aliyethibitishwa na CCM kuwa ni mnyarwanda, alikuwa raia halali kabisa wa Tanzania! Kabla Maalim Seif Sharif hajawa 'chotara Hizbu' alikuwa mpemba safi kabisa!

Hawa watu wasipate shida sasa kwani ni raia safi kabisa! Huwa wanasema "every dog has its day"

UMESAHAAU WATU WENGINE TU, YUKO YULE WA ZANZIBAR , KASTICO, YULE WA BUKOBA MIAKA ILE, KIGOMA JE?
 
Mmesikia yaliyowapata watanzania wenzetu huko India? Hamjawaona jinsi wahindi walivyowafurusha na kuwaburura mitaani wanafunzi wa kitanzania na mpaka sasa wameishaua mtanzania mmoja?

Huku kwetu eti wahindi wako bungeni wanajitia watanzania, watanzania gani wasiojua hata kiswahili?

Kuna haja ya kuangalia upya sheria zetu wahindi wasiruhusiwe kugombea ubunge.

Mbona Robert Mugabe wazungu walimletea za kuleta akawatimua wote, alipungukiwa nini? zaidi ya miaka 20 sasa.
 
Kwahiyo kwa kuwa anajua lugha ya kimbulu basi ni sababu tosha ya kuwa raia wa Tanzania? Halafu suzan kiwanga uraia wake unatiliwa shaka kuwa ni wa wapi?
 
Mbunge wa Kishapu ndugu Suleiman Nchambi ni msukuma, hivyo nimtoe shaka mbunge wa Mlimba Chadema bi Suzan Kiwanga kwa kusema kuwa "tuna shaka na uraia wako" leo mapema bungeni akichangia mjadala! Kwa sasa uraia wake hauna mushkheri yoyote ile! Ni raia halali wa Tanzania!

Vilevile mbunge wa Bababti ndugu Jituson Patel ni mbulu 'piwa' anajua kimbulu na ni mtu wa kule! Hana shaka yoyote ile na hivyo vijiasili vya kule vimetokea bahati mbaya tu! Usishangae raia mweusi zaidi ya chris Lukos kuzaliwa China!
Harbinder Sethi ni mnyalu wa Iringa! Amezaliwa pale na kukulia pale!

Hawa watu wakitaka kujijua kuwa ni raia halali ama lah! Basi isiwe kazi nzito sana! Waanze kuwapinga Wathibitishaji wa raia halali wa Tanzania (CCM). Hiki chombo ndicho kikisema kuwa wewe siyo raia basi hautakuwa raia kweli!

Kabla Husein Bashe kuwa raia aliyehalalishwa kuwa ni Msomali na hiki chombo (CCM) alikuwa raia halali kabisa wa Tanzania! Alikuwa mnyamwezi! Kabla Jenerali Ulimwengu hajawa raia aliyethibitishwa na CCM kuwa ni mnyarwanda, alikuwa raia halali kabisa wa Tanzania! Kabla Maalim Seif Sharif hajawa 'chotara Hizbu' alikuwa mpemba safi kabisa!

Hawa watu wasipate shida sasa kwani ni raia safi kabisa! Huwa wanasema "every dog has its day"
machotara-jpg.321180


Hii ilikuwa kauli mbiu ya CCM siku ya mapinduzi.
7398050260cfaa8bae236cf10f329624.jpg

Nchambi ni chotara, na kadiri ya makada ya CCM yeye hii nchi si yake. Si raia...
 
Mbunge wa Kishapu ndugu Suleiman Nchambi ni msukuma, hivyo nimtoe shaka mbunge wa Mlimba Chadema bi Suzan Kiwanga kwa kusema kuwa "tuna shaka na uraia wako" leo mapema bungeni akichangia mjadala! Kwa sasa uraia wake hauna mushkheri yoyote ile! Ni raia halali wa Tanzania!

Vilevile mbunge wa Bababti ndugu Jituson Patel ni mbulu 'piwa' anajua kimbulu na ni mtu wa kule! Hana shaka yoyote ile na hivyo vijiasili vya kule vimetokea bahati mbaya tu! Usishangae raia mweusi zaidi ya chris Lukos kuzaliwa China!
Harbinder Sethi ni mnyalu wa Iringa! Amezaliwa pale na kukulia pale!

Hawa watu wakitaka kujijua kuwa ni raia halali ama lah! Basi isiwe kazi nzito sana! Waanze kuwapinga Wathibitishaji wa raia halali wa Tanzania (CCM). Hiki chombo ndicho kikisema kuwa wewe siyo raia basi hautakuwa raia kweli!

Kabla Husein Bashe kuwa raia aliyehalalishwa kuwa ni Msomali na hiki chombo (CCM) alikuwa raia halali kabisa wa Tanzania! Alikuwa mnyamwezi! Kabla Jenerali Ulimwengu hajawa raia aliyethibitishwa na CCM kuwa ni mnyarwanda, alikuwa raia halali kabisa wa Tanzania! Kabla Maalim Seif Sharif hajawa 'chotara Hizbu' alikuwa mpemba safi kabisa!

Hawa watu wasipate shida sasa kwani ni raia safi kabisa! Huwa wanasema "every dog has its day"
Sawa ni msukuma tumekubari
7398050260cfaa8bae236cf10f329624.jpg
 
Pumbafu kabisa, wewe ukijuwa kingeleza, au kifaransa, na wewe unakuwa mzungu, jituson ni mbunge na mhindi walilowea kwenye mashamba ya miwa KIRU, Matukufu, pia Nchambi hata kisukuma hakijui zaidi ya salamu
 
Akichangia leo Mpango wa serikali bungeni Mh.Suzan Kiwanga wa CHADEMA, alitamka maneno yasiyo na staha bungeni ambayo yalitafusiriwa kama matusi .

Ndipo mbunge wa Kishapu aliposimama na kumwomba mwongozo Mwenyekiti, kwa kumtaka Suzan afute baadhi ya maneno yake maana hayana staha.

Ndipo aliposimama Suzan na kumwambia mbunge wa Kishapu kuwa "kwanza wewe sio raia wa Tanzania " (huyo mbunge ana asili ya Kiarabu )

Hata alipotakiwa na mwenyekiti afute maneno yake ya ubaguzi la sivyo atamtoa nje kama kanuni inavyotaka, Suzan akajibu kwa mipasho kuwa "kama kufuta nafuta tu na maisha yaendeleee".!

NB. Kuna haja ya Mbowe kuwapa semina elekezi wabunge wake maana wanazidi kuonekana kituko.
fbb625549dae6fb5652dcc413dd05472.jpg

Mbunge wa Kishapu ndugu Suleiman Nchambi ni msukuma, hivyo nimtoe shaka mbunge wa Mlimba (Chadema) bi Suzan Kiwanga kwa kusema kuwa "tuna shaka na uraia wako" leo mapema bungeni akichangia mjadala! Kwa sasa uraia wake hauna mushkheri yoyote ile! Ni raia halali wa Tanzania!

Vilevile mbunge wa Bababti ndugu Jituson Patel ni mbulu 'piwa' anajua kimbulu na ni mtu wa kule kaskazini! Hana shaka yoyote ile na hivyo vijiasili vya kule kwa 'wadosi' vimetokea bahati mbaya tu! Usishangae raia mweusi zaidi ya Chris Lukosi kuzaliwa China!
Harbinder Sethi ni mnyalu wa Iringa! Amezaliwa pale na kukulia pale!

Hawa watu wakitaka kujijua kuwa ni raia halali ama lah! Basi isiwe kazi nzito sana! Waanze kuwapinga Wathibitishaji wa raia halali wa Tanzania (CCM). Hiki chombo ndicho kikisema kuwa wewe siyo raia basi hautakuwa raia kweli!

Kabla Husein Bashe kuwa raia aliyehalalishwa kuwa ni Msomali na hiki chombo (CCM) alikuwa raia halali kabisa wa Tanzania! Alikuwa mnyamwezi! Kabla Jenerali Ulimwengu hajawa raia aliyethibitishwa na CCM kuwa ni mnyarwanda, alikuwa raia halali kabisa wa Tanzania! Kabla Maalim Seif Sharif hajawa 'chotara Hizbu' alikuwa mpemba safi kabisa!

Hawa watu wasipate shida sasa kwani ni raia safi kabisa! Huwa wanasema "every dog has its day"

Pumbafu kabisa, wewe ukijuwa kingeleza, au kifaransa, na wewe unakuwa mzungu, jituson ni mbunge na mhindi walilowea kwenye mashamba ya miwa KIRU, Matukufu, pia Nchambi hata kisukuma hakijui zaidi ya salamu
 
Hivi kwanini maeneo ya wachaga hakuna hao machotara? Rombo hakuna,Kibosho hakuna Machame sijawahi sikia hata wapare hakuna hao wageni wenyeji wanaopewa uongozi wenzetu VP??? Kunani?
 
Pumbafu kabisa, wewe ukijuwa kingeleza, au kifaransa, na wewe unakuwa mzungu, jituson ni mbunge na mhindi walilowea kwenye mashamba ya miwa KIRU, Matukufu, pia Nchambi hata kisukuma hakijui zaidi ya salamu
Na yule hassanali wa ilala ni mchaga kumbe?
 
Back
Top Bottom