Wana jamvi habarini za mchana, Naomba kujua mwenye uzoefu juu ya kuhifadhi Viazi mbatata "Viazi mviringo" vilivyo menywa na kukatwa kwa ajili ya chipsi ili visibadilike rangi au kuharibika kwa halaka.
Usife moyo kwa wana jamvi wenye mawazo hasi kwako, binafsi nina mradi kama wako niliajiri vijana tangu 2011 hadi sasa nishafukuza vijana wanne sababu tu hawazingatii kazi, sasa angekuwa ndugu ningemfukuza???????
pia kijana utakae mpata hakikisha uwe karibu nae sana.
Wadau nimefurahi sana kwenye jamvi hili na ushauri mnao toa, binafsi nina Mradi wangu wa poultry farming hasa kuku wa kienyeji naamini soko lipo kubwa maana watu wengi wanaondokana na matumizi ya Bloiler nina Incubator machine ya capacity ya mayai 5280 na mabanda yapo fenced ya kuweza kufuga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.