Wanaume warefu weupe

Wanaume warefu weupe

Nyie wanawake nyinyi!, usikute wewe ndio starfish kitandanani,ila unamponda kisa kakutema, sio fresh bana😀
 
Principle girl cyo kawaida yangu kupinga, ila leo napinga kabisa huo utafiti. Mosi, rangi ya ngozi haihusiani na mapenzi. Hbr ya maringo ni tabia + malezi na ustaarabu wa mtu mmoja mmoja tena in minor cases.
 
Endeleeni kubwabwaja wahusika sabu siku zote ukweli unauma,mnatakiwa mbadilike mwanaume kuwa na tabia za kike hainogi.
 
We sema unatabia ya kujitongozesha ukiona mwanaume mweupe,sasa ubaya wake ni kwamba ht km mwanaume anajua mapenzi ukijileta no romance unapigwa dudu na kumwagwa siku hiyo hiyo ...mimi mweusi tiii na mrefu asante...
 
Bila shaka umetolewa bikra ya nyuma na hao wanaume, pole paka ndimu itarudi
 
Kwa utafiti nilioufanya wanaume warefu weupe wanajisikia sana tena wanajiona wao ndo wazuri na si ajabu mwanaume mrefu mweupe akajisifia kuwa yeye ni mzuri wakati uzuri wa mwanaume ni pesaa na utafutaji pia wengi wao wana tabia za kike yani unakuta mwanaume mmbeammbea ana vimisemo vya kike na tena kitandani ni zero wenyewe ni vua nichomeke kwa mnaofahamu mtaungana nami.note;sio wote ila asilimia kubwa wapo hivo.
Umetendwa? Hahahahaaaaaaa
 
Very true.....wanaume weupe warefu hamna kitu kabisa...kitandani hawajui, ni wachoyo na wanatabia ya kujiona wazuri kama watt wakike.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom