Habari zenu ndugu zangu wana JF I hope wote mko salama kwa majina naitwa Fadhili. I think this might sound stupid kwa baadhi ya watu lakini point ni kwamba ninao mtaji wa shillingi million 100 lakini sijuwi ni business gani ambayo itakuwa na revenue nzuri.
Najua kuna watu wengi ambao wana business ideas lakini mtaji ikawa ndo kikwazo kama una wazo lolote la kibiashara na upo Dar es salam unaweza niandikia ama una weza acha namba yako ya what'sup mimi nitakupigia. mtaji ni 100 million tsh. Karibu kwa Business idea
N.B: kwa atakae( watakao) bahatika ku leta wazo nduri watakuwa wamepata ajira moja kwa moja. sichagui jinsia. i'm very serious about this. karibuni
Najua kuna watu wengi ambao wana business ideas lakini mtaji ikawa ndo kikwazo kama una wazo lolote la kibiashara na upo Dar es salam unaweza niandikia ama una weza acha namba yako ya what'sup mimi nitakupigia. mtaji ni 100 million tsh. Karibu kwa Business idea
N.B: kwa atakae( watakao) bahatika ku leta wazo nduri watakuwa wamepata ajira moja kwa moja. sichagui jinsia. i'm very serious about this. karibuni