Nadhani mleta mada ameshindwa kufafanua vizuri hii ni list ambayo hao tayari walikua wameshashtakiwa na ndo maana unaona mpka majina ya wasiokua wa Tanzania na wengine katika hao tayari walishatoka jela
Mpira bwana kitu cha ajabu kabisa yaani watu wameshasahau kabisa kwamba wale waliotoa Droo na United wao walifungwa! Na wengine wanaojita mabingwa walifunga goli la usikuuuu tena la mkono!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.