Kumbi za zamani na ma DJ wake

Kumbi za zamani na ma DJ wake

Wewe na mimi zamani zetu zinafanana kidogo, lakini zamani zinazotajwa humu mmmh zimezidi mwanangu. Kina Godfather, young millionaire nilikuwa nasikia tu kwenye radio wakitangazwa lakini sikuwa umri wa kuingia club

Very true mkuu Migomba baadhi ya MaDJ na wachezaji wa Disko wakati huo kama hao kina Maneno Ngedere, Athumani DigaDiga etc kwa kweli mi niliishia kusoma kwenye magazeti ya Mfanyakazi na Mzalendo kwa mbali na Lete raha. Pamoja na hayo sitaacha kuthamini mchango wao katika Tasnia hii ya Disco maana thru wao ndo hadi leo tunaweza kukuta kumbi za kisasa za madisco lkn ni kwa revolution kutoka katika kizazi chao.

Kwa kumalizia nakuacha nae Robis na ngoma yake ya show me love hadi wakati mwingine...enjoy!
 

Attachments

Dah hao ma dj walikuwa wanatunyima sana usingizi wakazi wa kinondoni muslimu enzi hizo Lang'ata ukumbi ulikuwa hauna hata sound proof!! Malaya kibao kamboka pale makabulini!! Dah Old is Gold! Nimekumbuka mbali kwakweli..
 
Very true mkuu Migomba baadhi ya MaDJ na wachezaji wa Disko wakati huo kama hao kina Maneno Ngedere, Athumani DigaDiga etc kwa kweli mi niliishia kusoma kwenye magazeti ya Mfanyakazi na Mzalendo kwa mbali na Lete raha. Pamoja na hayo sitaacha kuthamini mchango wao katika Tasnia hii ya Disco maana thru wao ndo hadi leo tunaweza kukuta kumbi za kisasa za madisco lkn ni kwa revolution kutoka katika kizazi chao.

Kwa kumalizia nakuacha nae Robis na ngoma yake ya show me love hadi wakati mwingine...enjoy!
Daaah!! Mkuu asante sana kwa hii ngoma,umenikumbusha miaka ya mwanzoni mwa 90's au mwishoni mwa 80's hizi ngoma zilitamba sana aisee! Thanks again Mkuu.
 
Watu wa Arusha mnamkumbuka MC Bugaloo? ...bila kusahau kuna mkali mmoja wa kusakata yenu alikuwa anapatikana New Arusha hotel (alikuwa ananyoa panki matata sana) , vipi DJ Muddy (Police Mess) , Speed Mnyamwezi na mdogo wake Jack Songa (wakali wa brake dance) ...bila kumsahau Fabby wa mitaa ya Fire ....Cave disko , Arusha by night , 77 hotel ...hatariiiiii ....
 
Very true mkuu Migomba baadhi ya MaDJ na wachezaji wa Disko wakati huo kama hao kina Maneno Ngedere, Athumani DigaDiga etc kwa kweli mi niliishia kusoma kwenye magazeti ya Mfanyakazi na Mzalendo kwa mbali na Lete raha. Pamoja na hayo sitaacha kuthamini mchango wao katika Tasnia hii ya Disco maana thru wao ndo hadi leo tunaweza kukuta kumbi za kisasa za madisco lkn ni kwa revolution kutoka katika kizazi chao.

Kwa kumalizia nakuacha nae Robis na ngoma yake ya show me love hadi wakati mwingine...enjoy!
 
Back
Top Bottom