Suala si malipo, naaangukia upande wa uhalisia wa jambo husika. CDM bado ni kichanga kisera na mikakati, naguko lake laja muda si mrefu; mnatumia muda mwingi kuwajadili akina Nape. CDM mlianza vizuri kwa hoja zenye shibe, hatahivyo baadaye HASWA baada ya ujio wa Nape na hoja zake, mkatoka nje ya...