Ahahahaaah!! Achana na majani wewe.....lakini kwa kweli hii hali inachanganya sana, hivi kweli muda wote huu hatujapata suluhisho la hili tatizo?haya ndio matunda ya ccm! Ngoja nipate japo :majani7: ili nipoteze japo mawazo na kupunguza hasira mie.
haya ndio matunda ya ccm! Ngoja nipate japo :majani7: ili nipoteze japo mawazo na kupunguza hasira mie.
Ni kapelo, shati na suruali za ccm ndizo zimetufikisha hapa. Yatupasa tuwe wakali sana hata kama watasema tunavuruga amani. Jamani wanyonge tuungane, tutoke ndani ya jf, tuingie mitaani tudai tunachoamini kuwa ni chetu. Bila ya hivyo, hasira zetu zitaishia humu jf na hakuna tutakachobadili.
Lazima upate hasira Mkuu, tatizo la umeme ni la miaka 19 sasa, ndiyo miaka 19 tangu 1992 lilipoanza rasmi na hadi leo hii hakuna ahueni yoyote ile ya kuondoa adha hii isiwepo tena.
Mlimani tv habari
Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco ametangaza kutakuwepo mgao wa Umeme kuanzia tarehe 19 May kutokana upungufu wa megawatt zaidi ya 200. Amesema mvua zinazonyesha hazijaketa nafuu yoyote
(nilipatwa na hasira kuhusu taarifa hizi nikashindwa kusikiliza vizuri maelezo zaidi)
Lazima upate hasira Mkuu, tatizo la umeme ni la miaka 19 sasa, ndiyo miaka 19 tangu 1992 lilipoanza rasmi na hadi leo hii hakuna ahueni yoyote ile ya kuondoa adha hii isiwepo tena.