mafilili hawa jamaa wanakulipa sh ngapi kwa kila post humu jf?
Kusema kweli Mpendazoe angewataja kina Nape na Sitta napema isingekuwa na political significance. Sasa ni wakati muafaka kutokana na siasa zilizopo hasa ndani ya CCM. Mbinu ya Chadema ni kuwavuruga zaidi CCM maana sasa kina Lowasa nao wamepata silaha ya kuwarudi kina Sitta na Mwakyembe. UVCCM nao wapepata silaha dhidi ya Nape amabaye tayari alishaanza kuwakoga na cheo kipya. Sasa JK anaweza "kujivua" kambi zote zinazopingana CCM bila kunyoshewa kidole na yeyote. Vita ya panzi ni furaha ya kunguru. Mpendazoe oyee!
Sasa Kikwete akiyaondoa makundi hayo CCM itabaki na nani Dr.Sheni.Mheshimiwa Raisi wetu JK SASA ndio muda muafaka wa kuondoa magamba yote yaliokifikisha chama chetu hapo kilipo , KAMBI ZOTE MBILI ZINAZOKIVURUGA CHAMA wanastahili kutimuliwa kwa kulea makundi kama ifuatavyo:
Lowasa na kundi lake ,Sitta na kundi lake naamini CDM watakuwa wamekosa cha kuongea kwenye hayo maandamano yao yasiyokuwa na kichwa wala miguu
Nauliza ayafutilie mbali nani abaki CCM? kuyatoa haya makundi ni sawa na mwenye ukimwi kubadili damu yote akitegemea viini vitakwisha lakini ndiyo anakaribisha kifo.JK mungu anampenda sana kwani moja ya makundi yaliyokifikisha ccm hapa ilipo ni kundi la Sitta na Lowassa . Ni wakati muafaka sasa kuyafutilia mbali haya makundi kwani kila kundi ni hatari kwa uhai wa Chama. Naamini CDM WATAKOSA cha kuongea kwenye haya maamdamano yasiyokuwa na kichwa wala miguu
Baada ya Kada mwandamizi wa CDM Fred Mpendazoea kuanika siri za vigogo wa CCM Zinazowahusisha na mipango ya kuwahi kukigeuka chama chao na kuanzisiha ccj, jana Fred Mpendazoea aliwataja wahariri na waandishi wa habari ambao walikuwa ni waasisi wakuu wa CCJ,waandishi waliotajwa na Mpendazoea na vyombo vya habari wanavyotoka ni Ramadhani Semtawa(Mwananchi) ,Muhingo Rweymamu(Habari Corporation), Mayage S Mayage (Habari Corporation) .
Amesisitiza kuwa ndio walikuwa waasisi wakuu wa CCJ
RIP na Upupu wako,unapotaka kumumng'oa adui huwezi weka mambo bayana na hata sababu ya kutosajiliwa CCJ ilikuwa ni zengwe na worry ya CCM dhidi ya CCJ na Mpendazoe anasema lengo ilikuwa waje waungane na CDM ilikuing'oa CCM sasa unaposema alikuwa msiri na hata akiona CDM kama mambo hayaendi sawa anaweza kuanzisha movement za mabadiliok kupitia chama kingine amabcho ki-mtazamo wake kitakuwa na malengo sawa na anavyoamini na hii ni kwa mtu yeyote makini sio Mpendazoe tu!
Suala si malipo, naaangukia upande wa uhalisia wa jambo husika. CDM bado ni kichanga kisera na mikakati, naguko lake laja muda si mrefu; mnatumia muda mwingi kuwajadili akina Nape. CDM mlianza vizuri kwa hoja zenye shibe, hatahivyo baadaye HASWA baada ya ujio wa Nape na hoja zake, mkatoka nje ya reli na kuangaza hotuba za kutaja watu badala ya hoja muafaka za kupaisha taifa kimaendeleo kwa mfano majuzi unaitisha mkutano wa hadhara Tunduru ambako wananchi wana shida lukuki, CDM walitumia robo tatu ya mkutano kuelezea namna CCJ ilivyoazishwa na kuachwa kwenye mataa na akina Nape. Zamani mkutano kama ule CDM ukitoa majibu wa wananchi namna ya kutatua tatizo la soko la korosho haswa stakabadhi ghalani HAPO wanatunduru wangewaelewa, mbaya zaidi wakaona haitoshi robo tatu ya hotuba wakamshambulia kipenzi cha wanatunduru Lipumba. HIVYO CDM MRUDI MLIKOTOKA KWENYE SIASA ZA MVUTOI KULIKO KULUMBANA NA AKINA NAPE; WANANCHI WATAWAPOTOZEA!!!
Hii move ya CDM inaweza isieleweke kwasasa ila amin amin nawambia CCM wakimaliza kujivua gamba la mafisadi (kama wataweza) kinachofuata ni kujivua gamba la wasaliti (CCM-J) former CCJ. Ngoja tuone...!
Miundobinu ya ki-intellijensia itawamaliza cdm take note!!! Hao wanaohamia ni sawa nyuki je mnawabusu na kukumbatia!! Tzm huo ni muundombinu wa chombo ndani ya cdm??? wanajikusanya marando,shibuda,safari,mpenda zoa itakapoanza conflict of interest and option!!! wake up !!!! Msipoteze dira kwa kutokuwa makini! Malumbano si siasa pevu kwenu!!
MSIWE DODOK!!!!! Know who you are!!!:smow: