Ukisema kitu kifutwe utakuwa unazo sababu za kutosha,kwa kutoa vipengele kadhaa ambavyo wamekiuka.Ukikurupuka kama ulivyofanya,huo ndio udikteta,tunaishi kwa misingi ya sheria.Hivyo toa kifungu cha sheria na adhabu yake iwe kufutwa.Vinginevyo you are not a great thinker.Huna Data,huna kifungu...