Ng'wananshoma
Member
- Dec 6, 2010
- 21
- 0
Looo bora wakubwa woote wafe ili nasisi watoto tufaidi, kwa kweli huyu dada yuko kitoko(mzuri saana.
Hamshindi wangu
Looo bora wakubwa woote wafe ili nasisi watoto tufaidi, kwa kweli huyu dada yuko kitoko(mzuri saana.
Na ndo maana yule mwanandinga wao maarufu, Kataut alimzimia mdada wetu huku Bongo.Wakuu. Natofautiana nanyi,dont be carried away na picha.
This lady is good lakini kwa vidosho wetu wa kibongo hafui dafu.
Nywele si standard
Cheki mikono ka mbu
Mapaja yanaonekana kuwa ok lakini haya uwiano na body structure
Asimame basi ,sina uhalika kama ana fig. 8,anaweza luwa na fig A.
Hajafikia wabongo ,mie napima