Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Term iliyopita Rais alikuwa na utaratibu wa kulihutubia taifa kila mwisho wa mwezi. Sina hakika kama bado Rais ataendelea na utaratibu wake wa awali kwa kipindi hiki cha miaka mitano anachomalizia.
Na kama Rais ataendelea na utaratibu wake wa awali basi mimi nasubiri kwa hamu kusikia jinsi atakavyozungumzia yafuatayo:-
Na kama Rais ataendelea na utaratibu wake wa awali basi mimi nasubiri kwa hamu kusikia jinsi atakavyozungumzia yafuatayo:-
- Madai ya katiba mpya yaliyoibuliwa baada ya kumalizika kwa uchaguzi
- Vurugu zilizotawala katika chaguzi za mameya sehemu mbalimbali nchini
- Hukumu ya kesi ya Dowans dhidi ya Tanesco na kauli mbalimbali za viongozi wa serikali yake.
- Hukumu ya Kesi ya Radar iliyotolewa hivi karibuni nchini uingereza ikihusisha kampuni ya BAE systems
- Majukumu na nguvu ya polisi Vs Vyama Vingi nchini, hususani katika ukuaji wa demokrasia.
- Mfumuko wa bei unaoendelea nchini Vs dhana yake ya maisha bora kwa kila mtanzania