Hotuba ya Rais JK Mwisho wa Mwezi 31/12/2010

Status
Not open for further replies.

Rich Dad

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
748
133
Term iliyopita Rais alikuwa na utaratibu wa kulihutubia taifa kila mwisho wa mwezi. Sina hakika kama bado Rais ataendelea na utaratibu wake wa awali kwa kipindi hiki cha miaka mitano anachomalizia.
Na kama Rais ataendelea na utaratibu wake wa awali basi mimi nasubiri kwa hamu kusikia jinsi atakavyozungumzia yafuatayo:-

  1. Madai ya katiba mpya yaliyoibuliwa baada ya kumalizika kwa uchaguzi
  2. Vurugu zilizotawala katika chaguzi za mameya sehemu mbalimbali nchini
  3. Hukumu ya kesi ya Dowans dhidi ya Tanesco na kauli mbalimbali za viongozi wa serikali yake.
  4. Hukumu ya Kesi ya Radar iliyotolewa hivi karibuni nchini uingereza ikihusisha kampuni ya BAE systems
  5. Majukumu na nguvu ya polisi Vs Vyama Vingi nchini, hususani katika ukuaji wa demokrasia.
  6. Mfumuko wa bei unaoendelea nchini Vs dhana yake ya maisha bora kwa kila mtanzania
Nasubiri kwa hamu nisikie hotuba yake kama itakuwepo mwishoni mwa mwezi huuu!
 
Term iliyopita Rais alikuwa na utaratibu wa kulihutubia taifa kila mwisho wa mwezi. Sina hakika kama bado Rais ataendelea na utaratibu wake wa awali kwa kipindi hiki cha miaka mitano anachomalizia.
Na kama Rais ataendelea na utaratibu wake wa awali basi mimi nasubiri kwa hamu kusikia jinsi atakavyozungumzia yafuatayo:-


  1. Madai ya katiba mpya yaliyoibuliwa baada ya kumalizika kwa uchaguzi
  2. Vurugu zilizotawala katika chaguzi za mameya sehemu mbalimbali nchini
  3. Hukumu ya kesi ya Dowans dhidi ya Tanesco na kauli mbalimbali za viongozi wa serikali yake.
  4. Hukumu ya Kesi ya Radar iliyotolewa hivi karibuni nchini uingereza ikihusisha kampuni ya BAE systems
  5. Majukumu na nguvu ya polisi Vs Vyama Vingi nchini, hususani katika ukuaji wa demokrasia.
  6. Mfumuko wa bei unaoendelea nchini Vs dhana yake ya maisha bora kwa kila mtanzania
Nasubiri kwa hamu nisikie hotuba yake kama itakuwepo mwishoni mwa mwezi huuu!
Mimi nitataka aseme ahadi alizotoa wakati wa uchaguzi zina dhamani ya Tshs. ngapi..........
 
Term iliyopita Rais alikuwa na utaratibu wa kulihutubia taifa kila mwisho wa mwezi. Sina hakika kama bado Rais ataendelea na utaratibu wake wa awali kwa kipindi hiki cha miaka mitano anachomalizia.
Na kama Rais ataendelea na utaratibu wake wa awali basi mimi nasubiri kwa hamu kusikia jinsi atakavyozungumzia yafuatayo:-

  1. Madai ya katiba mpya yaliyoibuliwa baada ya kumalizika kwa uchaguzi
  2. Vurugu zilizotawala katika chaguzi za mameya sehemu mbalimbali nchini
  3. Hukumu ya kesi ya Dowans dhidi ya Tanesco na kauli mbalimbali za viongozi wa serikali yake.
  4. Hukumu ya Kesi ya Radar iliyotolewa hivi karibuni nchini uingereza ikihusisha kampuni ya BAE systems
  5. Majukumu na nguvu ya polisi Vs Vyama Vingi nchini, hususani katika ukuaji wa demokrasia.
  6. Mfumuko wa bei unaoendelea nchini Vs dhana yake ya maisha bora kwa kila mtanzania
Nasubiri kwa hamu nisikie hotuba yake kama itakuwepo mwishoni mwa mwezi huuu!

Mkuu umeelezea mambo ambayo kweli kila mtu angepeda kusikia mkuu huyu wa nchi akiyatolea ufafanuzi, lakini ni kawaida yake kutojadili mambo ambayo yanaumiza vichwa vya watu kwa wakati ambao anatoa hotub zake.

Nafikiri tusibiri kusikia mikakati aliyonayo katika kutafuta wahisani waje kutusaidia mizigo yetu.
 
Term iliyopita Rais alikuwa na utaratibu wa kulihutubia taifa kila mwisho wa mwezi. Sina hakika kama bado Rais ataendelea na utaratibu wake wa awali kwa kipindi hiki cha miaka mitano anachomalizia.
Na kama Rais ataendelea na utaratibu wake wa awali basi mimi nasubiri kwa hamu kusikia jinsi atakavyozungumzia yafuatayo:-

  1. Madai ya katiba mpya yaliyoibuliwa baada ya kumalizika kwa uchaguzi
  2. Vurugu zilizotawala katika chaguzi za mameya sehemu mbalimbali nchini
  3. Hukumu ya kesi ya Dowans dhidi ya Tanesco na kauli mbalimbali za viongozi wa serikali yake.
  4. Hukumu ya Kesi ya Radar iliyotolewa hivi karibuni nchini uingereza ikihusisha kampuni ya BAE systems
  5. Majukumu na nguvu ya polisi Vs Vyama Vingi nchini, hususani katika ukuaji wa demokrasia.
  6. Mfumuko wa bei unaoendelea nchini Vs dhana yake ya maisha bora kwa kila mtanzania
Nasubiri kwa hamu nisikie hotuba yake kama itakuwepo mwishoni mwa mwezi huuu!
Ningependa aongelee atafanyaje na Mkuu wa Takukuru baada ya siri ya weakleaks kuvuja
 
Kimsingi hatakiwi kumuadhibu Hosea............... Ahangaike na akina Mkapa, EL, RA etc........full stop

Ni kweli kwa sababu wananchi sasa wameshajua msimamo wake dhidi ya wala rushwa! kwa hiyo chochote atakachosema ku-pretend kwamba yeye yupo smart kwenye kufuatilia rushwa itakuwa bure tu kudanganya wasikilizaji wa hotuba yake!
 
Kesho ni kesho(31.12.2010) msema kweli ni mwongo Jk kutoa HOTUBa ya funga mwaka
hutoba inaweza kuokoa na kurudisha imani za watanzania.

1. Jk atakuja na majibu ya dowanss kuwa serikali haitalipa hiyo hela
2. kuanzisha mchakato a katiba mpya tume kuchagulia
3.
4.
5.


wanaJF ongezea kesho(31.12.2010) JK kuibuka shujaa na mwokozi:target::target:
 
Mchezo mwingine wa kuigiza.
Mtaniambia akimaliza hotuba hapa JF
Asanteni
 
Kama atazungumza, sansana atajishekeshachekesha na kuongelea safari zake za Malawi (na kuzindua kaburi la Marehemu First Lady), na kwingineko
 
Atutajie mmilikiwa Dowans ni nani kama ni Rost Aziz au vp. Manake hii mihela mingi sana ati kupotea hivi hivi kwa mafisadi.
 
Ni kweli kwa sababu wananchi sasa wameshajua msimamo wake dhidi ya wala rushwa! kwa hiyo chochote atakachosema ku-pretend kwamba yeye yupo smart kwenye kufuatilia rushwa itakuwa bure tu kudanganya wasikilizaji wa hotuba yake!
Asije akasahau kuwa watanzania wa leo si wale wa enzi za mwaka 47 . Time will tell
 
Kesho ni kesho(31.12.2010) msema kweli ni mwongo Jk kutoa HOTUBa ya funga mwaka
hutoba inaweza kuokoa na kurudisha imani za watanzania.

1. Jk atakuja na majibu ya dowanss kuwa serikali haitalipa hiyo hela
2. kuanzisha mchakato a katiba mpya tume kuchagulia
3.
4.
5.


wanaJF ongezea kesho(31.12.2010) JK kuibuka shujaa na mwokozi:target::target:
Thubutu yake.......!!!
 
Kesho ni kesho(31.12.2010) msema kweli ni mwongo Jk kutoa HOTUBa ya funga mwaka
hutoba inaweza kuokoa na kurudisha imani za watanzania.

1. Jk atakuja na majibu ya dowanss kuwa serikali haitalipa hiyo hela
2. kuanzisha mchakato a katiba mpya tume kuchagulia
3.
4.
5.


wanaJF ongezea kesho(31.12.2010) JK kuibuka shujaa na mwokozi:target::target:

mkuu unaishi nchi gani kesho ni tarehe ngapi...... 30.12.2010..... hata nepal au Australia bado hawajafikia hiyo time...... please
 
Campana umenifanya nichangie maana comment yako kuwa mkuu wetu wa nchi atajichekeshachekesha imeniacha hoi.Hivi ni kwa nini tuko hivi??Ina maana badala ya mkuu wa kaya kuzungumzia matatizo yetu azungumzie kuhusu kuzindua kaburi la FL wa malawi??Is it serious?Campana niambie kama ndivyo alivyo niondoe hata kale kaimani kadogo kalikobakia.
Rich Dad na wewe unasema tuache tu eti ilikuwa style ya kuombea kura??Is it??Hata katiba ilikuwa style ya kuchakachua???Halafu we rich unasema tuache tu tusiulize??
 
Atutajie mmilikiwa Dowans ni nani kama ni Rost Aziz au vp. Manake hii mihela mingi sana ati kupotea hivi hivi kwa mafisadi.

Hata akitaja haitasaidia...........unategemea nini kutoka kwa JK ikiwa mwanasheria mkuu kashasema kesi ifungwe na wao hawana mpango wa kukata rufaa...........nothing to expect...........ni upupu tu na blah!bla! za uchaguzi ulikuwa wazi,huru na haki na tutapambana na udini, tuendelee kuombea mvua na upupu tu kama huo.............kama alishindwa kutoa visionary speech siku ya kufungua bunge unategemea kesho????.....ni maumivu tu tufunge mkanda...
 
mkuu unaishi nchi gani kesho ni tarehe ngapi...... 30.12.2010..... hata nepal au Australia bado hawajafikia hiyo time...... please

Ushahidi mwingine kuwa JK na wapambe wake ni watu wa hovyo kabisa wanakurupuka tu
 
Campana umenifanya nichangie maana comment yako kuwa mkuu wetu wa nchi atajichekeshachekesha imeniacha hoi.Hivi ni kwa nini tuko hivi??Ina maana badala ya mkuu wa kaya kuzungumzia matatizo yetu azungumzie kuhusu kuzindua kaburi la FL wa malawi??Is it serious?Campana niambie kama ndivyo alivyo niondoe hata kale kaimani kadogo kalikobakia.
Rich Dad na wewe unasema tuache tu eti ilikuwa style ya kuombea kura??Is it??Hata katiba ilikuwa style ya kuchakachua???Halafu we rich unasema tuache tu tusiulize??[/QUOTE]

Ndo mambo ya uongozi hayo, kama uliwahi kuwa kiongozi af uliwaji kupata hard time katika uongozi wako utajua nina maanisha nini? na hasa unapopata shutuma zenye ukweli na ukweli huo unaujua A-Z. Ndo maana nilitoa hiyo kauli, si kwa ubaya!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom