Recent content by piensia

  1. P

    Dr. Slaa tafadhali tumia busara tuiondoe CCM 2015

    Mheshimiwa dr Slaa tumia busara. Na fanya hili kwa watanzania. Kumbuka umepambana kwa muda mrefu kukijenga chama na histiria imeishaandikwa. Sasa twende wote tukamalizie mkia ili tuchukue uhuru kwa mara ya pili. Mzee rudisha moyo hii ni vita lazima tushirikiane na kwa kutumia mbinu ambazo adui...
  2. P

    Lowassa Rais UKAWA, Mwenza - Slaa, Lipumba - Waziri Mkuu, Zitto naye ndani

    Huo ni uongo wa mchana kweupe, mgombea mwenza lazima atoke zanzibar kwa hiyo hawezi kuwa slaa.
  3. P

    Bado miezi michache wafunge ndoa, mwanaume ana mwanamke mwingine tena ana ujauzito wa miezi 4

    Namshauri huyo mke mtarajiwa akae chini atathimini hiyo ndoa mara mbili kabla hajaingia. ni bora kuuvua uchumba hata kama aliimpenda sana huyo bwana kuliko kuingia katika ndoa ambayo atakuja kupata matatizo makubwa na aanze kujutia. mume au mke mwema hutoka kwa Mungu na hayo matatizo anayoyaona...
  4. P

    UTAFITI: Mtanzania agundua chanjo ya ndui ya kuku

    Hongera prof Wambura umeonyesha njia ya kupita ili na wangine wafuate, natarajia nitakuwa mtumiaji wa mwanzo pindi tu chanjo itakapo kuwa tayari sokoni, maana kushika kuku mmojammoja na kumchanja ilikuwa ni kazi kubwa.
  5. P

    Kamati ya uongozi bunge la katiba lakutana kujadili kamati kuu ya CCM na sura za nyongeza

    Watanzania tunaomba amani sio jingine, kuleta mahakama ya kadhi ni kuingiza udini kwani baada ya hapo wakritu nao wataomba mahakama yao pia nao watataka igharamiwe na selikali kama ambavyo mahakama ya kadhi wanataka. na mwisho ni ugomvi maana kila mtu atavutia kwake. kwavile nchi haina dini basi...
  6. P

    Baada ya Mdahalo: Nani anazuia upatikanaji wa Katiba Mpya?

    Ni wazi kabisa CCM ndiyo inayokwamisha mchakato mzima, ukianzia pale mheshimiwa alipoendakutoa maoni yake mbele ya bunge la katiba na kulazimisha kwamba kama selikari tatu tusubiri yeye atoke madarakani, hii maana yake nini , yaani wabunge wa chama chake lazima wasimamie maelekezo ya mwenyekiti...
  7. P

    Mambo yamekuwa mazito kwenye ndoa yangu

    Chukua email yangu tuwasiliane private sio humu ni kweli unahitaji msaada. Kama kweli unashida nitafute piensiafocus@hotmail.com
  8. P

    Magesa akanusha kufuga chatu Nyumbani kwake

    Watanzania tuache imani potofu, kila kitu tunawaza ushirikina. Hatuwezi kuendelea kwa mtindo huu kamwe , kwa nini tusiwaze tu positive, jamani tubadirike.
  9. P

    Aibu kwa Meneja wa msanii aliye juu kwa sasa Tanzania

    Ndo maana hamendelei kazi yenu midomo tu mwenzenu anaendelea. Big up diamond endelea kuchapa kazi hiyo ndo ajira yako.
  10. P

    Natamani kurudi Tanzania,ndugu zangu wananitisha,naomba ushauri

    Rudi bongo ndugu yetu wala hamna aibu yoyote, inaelekea ndugu ndo wanaona aibu wasikusingizie wewe. Bongo mambo ni poa sana ukilima kidogo tu unakula, polusion sio kubwa, social life kwa sana tu njoo ufanye maisha karibu na wabongo wenzio. All the best on ur decision.
  11. P

    Maswali 7 ya Jaji Joseph Sinde Warioba

    Hongera jaji walioba. Mungu yupo mbele yako na wanainchi tupo nyuma yako. Hamna mwingine anaweza dhubutu sema ukweli kama ambavyo unafanya na wengine wote wanafiki tu. Nchi hii itaingia kwenye machafuko sio kwaajili ya upinzani bali ni kwasababu ya chama tawala kung' ang'ania madalaka. Kila...
  12. P

    Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

    Lazima atengue kauli yake, hawezi kuwa juu ya sheria hata kama ni raisi na pia tupo nchi ya kidemokrasia sio ya kidikteta ya mtu kuamka tu na kuamuru anachotaka. Nchi ina sheria na wasimamizi na watekelezani wa sheria wapo. Kama anafikiri wanaccm wametobolewa macho na wapinzani vyombo vya...
  13. P

    Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

    Kwakweli sikuamini niliyoyasikia kutoka kwa kiongozi wa nchi. Nadhani haelewi madhara ya kauli yake au ameamua kwa makusudi kuchafua amani ya nchi kwani yeye anajua atakako kimbilia. Kwani hajui kama nguvu zote za nchi hii anazo mikononi mwake , ikiwa ni pamoja na majeshi kwanini asiamuru jeshi...
  14. P

    RC Tabora na Mkiti wa CCM Mkoa Tabora Hapatoshi!

    Huyo mama namkubali kuliko wakuu wa mikoa yote , anasimamia anayosema. Huwa nikisikia taarifa zake huwa naacha kila kitu ili nimsikilize , mama endelea kuchapa kazi na tunahitaji kama wewe zaidi.
  15. P

    Mtoto anakunywa maji kiasi cha kutisha

    Amuone daktari inawezekana amezaliwa na matatizo ya kisukari.
Back
Top Bottom