Nndu wa Selote
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 733
- 520
Ni mtoto wa kike mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi minane. Usiku analala usingizi wa vipindi vifupifupi huku kila mara anaposhtuka usingizini huomba maji. Anapopewa anakunywa glass nzima akimaliza analala kidogo. Baada ya muda kama saa moja huamka tena na kudai maji, mama yake akichelewa kidogo kumpa atashuka kitandani na kuanza kuyatafuta. Bado ananyonya sana tu. Je wataalamu hili laweza tatizo gani ?