Kwani kuna shida gani kuwala hao na pia wanautofauti gani na unaowaona mtaani kwako hawa hawa wa online ndo tunaoishi nao mitaani kwetu hawatoki sayari nyingine, wengine ni dada zetu,wadogozetu, mama zetu, mamdogo, shangazi na bibi zetu na wake zetu pia. hata hela wanazopata ndio wanalisha...
Umeongea ukweli kabisa alipoongea Prof Assad kuwa bunge ni dhaifu hakukosea na hakupewa muda aeleze ni kwanini bali alishambuliwa na kuondolewa na hata Muhongo kila hoja ya kitaalamu anayotoa anapingwa na kushambuliwa bila hata kuichambua hoja hiyo kwa undani Mwalimu nyerere alifikiria mbali...
zima kifanywe kwanza na wajiolojia na alikuwa anaeleza kwamba badala ya kuelekeza nguvu zote kwenye umeme wa maji ni wakati sasa wa kuangalia pia uzalishaji wa umeme kupitia vyanzo vingine ni kwasababu ameshaoversee impact zake akatoa mfano tukiwekeza kwenye wind, gas, geothermal, coal na...
Mungu ibariki Afrika
Noti za muziki wa nyimbo
Enock Sentonga,mtunzi wa wimbo wa Nkosi Sikeleli Afrika
Mungu Ibariki Afrika ni wimbo wa taifa wa Tanzania. Jina linatokana na maneno yake ya kwanza.
Asili yake ni wimbo Nkosi Sikelel' iAfrika wa Afrika Kusini. Enoch Sontonga ndiye mtunzi...
Pia kingine kilichonishinda kufanya tathmini kwenye hizo sarafu hazijaandikwa thamani ya coin zenyewe kwa exchange rate zaidi ya sarafu zenyewe kuwa na nyota
Wadau naombeni wenye uelewa na hizi sarafu anidadavulie zina maana gani, nchi zilipotokea na thamani yake.
Najua jukwaa hili lina wataalamu na wabobevu wa mambo mbalimbali tena kwa kina.
Karibuni
Nenda ofisini kwao pale shoperz plaza utapata mzigo wako afu pia ni bora bora ukaandika self pick ukawa unaenda kuchukulia oficini kwao maanake wale ma rider ndo wamekuwa wasumbufu zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.