Pole sana mkuu.Nilipoona tu "was arrive" nikajua hao jamaa hawafai
Asante kwa namba nitawatafutaRiders wao ndio wahuni. Niliwahi oata shida kama hiyo, nikaenda ofisini kwao rider kupigiwa simu akadai eti amekua akinipigia sipatikani
Kama upo dar wapigie au nenda shoperz plaza ofisini kwao, waambie tu waulete hapo ofisini
+255 677 051 601 -kikuu customer care
Riders wao ndio wahuni. Niliwahi oata shida kama hiyo, nikaenda ofisini kwao rider kupigiwa simu akadai eti amekua akinipigia sipatikani
Kama upo dar wapigie au nenda shoperz plaza ofisini kwao, waambie tu waulete hapo ofisini
+255 677 051 601 -kikuu customer care
Hii namba kila nikipiga haipatikaniRiders wao ndio wahuni. Niliwahi oata shida kama hiyo, nikaenda ofisini kwao rider kupigiwa simu akadai eti amekua akinipigia sipatikani
Kama upo dar wapigie au nenda shoperz plaza ofisini kwao, waambie tu waulete hapo ofisini
+255 677 051 601 -kikuu customer care
Hayo ndio maudhi ya KIKUU,mzigo ukishafika wanaanza michezo yao,na hata siku wakikuletea huo mzigo wanakuwa hawana majibu ya maana...Ubabaishaji badow unaendelea...jamaa hawataki kuniletea mzigo wangu...nilipewa namba na mdau hapo juu lkn kila nikipiga haipatikaniView attachment 1241847
Nenda ofisini kwao pale shoperz plaza utapata mzigo wako afu pia ni bora bora ukaandika self pick ukawa unaenda kuchukulia oficini kwao maanake wale ma rider ndo wamekuwa wasumbufu zaidiDawa ni kuacha kuwatumia hawa wapuuzi
Ipo sehemu gani nikitokea ubungo...sipafahamu nielekeze napanda daladala za wapi!?Nenda ofisini kwao pale shoperz plaza utapata mzigo wako afu pia ni bora bora ukaandika self pick ukawa unaenda kuchukulia oficini kwao maanake wale ma rider ndo wamekuwa wasumbufu zaidi
Shoppers plaza ya wapi?mikocheni au masaki?Nenda ofisini kwao pale shoperz plaza utapata mzigo wako afu pia ni bora bora ukaandika self pick ukawa unaenda kuchukulia oficini kwao maanake wale ma rider ndo wamekuwa wasumbufu zaidi