Recent content by PG277

  1. PG277

    Marekani imedhamiria kuitoa Huawei sokoni, imeituhumu kuwa ni tawi la jeshi la China

    HAHAA et reset button.....ila ni kweli mbele kuna kiza kwenye hizo nchi za magharibi na ni kama kila mtu kachanganyikiwa.
  2. PG277

    Clouds FM wafanikiwa kuusambaratisha urafiki wa Nikki Mbishi na Wakazi

    Ishu hapo ni pesa...so sio ujinga kumchana mtu ambaye unaona anakuzibia usipate hela.
  3. PG277

    Hasara 10 na faida 5 za kuchepuka katika ndoa

    Umeongea kwa hisia sanaaa. Ni ujinga kiukweli
  4. PG277

    Magari ya mizigo kutoka Kenya yazuiwa kuingia Tanzania kupitia mpaka wa Horohoro (Lungalunga)

    Kwani aliyeanza kufunga sio wao wenyewe?? Sisi tunaiga tu walichofanya wao.
  5. PG277

    Wazungu itawauma sana kushindwa fikra na Muafrika

    Namkubali sana rais wangu aisee. Najivunia kuwa na rais kama JPM.
  6. PG277

    Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

    HAHAAA...hatari sanaaaaaa.😋😋😋
  7. PG277

    Harmonize kamrudisha Rich Mavoko kwenye game upya

    Hii bonge moja la point aisee. Natamani mavoko a.k.a mesi wa bongofleva asome huu ujumbe wako. All in all tunamuombea arudi tena kwenye game.
Back
Top Bottom