Chibolo
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 4,975
- 6,448
Tatizo lilianzia hapa. If you love corruption
Alijaribu sana kuwashawishi watumie kiswahili kwenye vikao vya EAC na SADIC lakini imeshindikana, sasa atachangia nini kwenye vikao masikini
Tatizo lilianzia hapa. If you love corruption
We mpuuzi hii nchi niyetu sote na tunayohaki kutoa maoni especially tunapoona maisha ya watu yanapotea!!Kuna watu wanaijua nchi hii kuliko nyie wapumbavu wachache mlioijua nchi kupitia corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa ni Kageme.
Alijaribu sana kuwashawishi watumie kiswahili kwenye vikao vya EAC na SADIC lakini imeshindikana,asa atachangia nini kwenye vikao masikini
Hakuna mtu amekuzuia kutoa maoni!We mpuuzi hii nchi niyetu sote na tunayohaki kutoa maoni especially tunapoona maisha ya watu yanapotea!!
Majinga yasiyo conscious kamawee yanafikiri viongozi wanajua kilakitu kwahiyo yamewakabidhi maisha yao!...
Ni babaako yule au mamaako hajakwambiaga?Tatizo sio lugha, hao walio hapo wote wanaweza ongea kiswahili fasaha. Tatizo ni kujifanya mjuaji, anadharau wenzake, ila na wao piia washajua wanadeal na jinga kwa hiyo wanaliacha na ujinga wake hawana muda naye. Hakuna jitu jinga ka jiwe dunia nzima kwa sasa hivi, yupo in denial, ego inamsumbua sana
Ni mama yako ndiyo aliniambia tukiwa wawili tu alafu akasema iwe siri nisimwambie baba yako
hahaahaaaaaa . . . . nimecheka sanaTanganyika wanajifanya wana akili sana. Kila Muungano wao wam
Kuwa subcontinent hakutufanyi kuwa kisiwa. Response yetu ni muhimu zaidiTanzania in itself is a sub continent.
Mkoa mmoja wa Tabora ni mkubwa kuliko nchi za Rwanda, Burundi and Malawi combined!
Karibuni hivi Zanziba itaruka kimanga,mwenye hasara zaidi ni Zanzibar
Ukweli ni kuwa % kubwa ya viongozi wa CCM na serikalini Zanzibar wana asili ya Tanganyika au ni agents wao. Wamefanya hivyo kwa makusudi ya kujiwekea base ya kufanya yao. E.g. Mwinyi, Shein, Seif Iddi, Masauni, Ramia, Balozi Amina na wengine wengiii!Hii mistari yako miwili ya mwisho ingestahili mjadala wa kina, lakini huwezi ukaupata hapa JF.
Nadhani Zanzibar sasa hivi wanayo nafasi nzuri kuliko wakati mwingine wowote tokea tuungane - kutumia hali iliyopo kujiuliza maswali mhimu kwao, na wakitaka waanzishe utaratibu wanaoona unawafaa.
Kwani Rais ninani mpaka asitukanwe