kama nchi hii kuna mtu anatakiwa kunyongwa hadharani ili iwe fundisho kwa watanzania wengine wanaoshabakia wizi tena wa dhailii bin shairi ni tundu lissu
nazani kuna mengi umepitia na kuwaza mpaka ukafikia hapo lakini uyo ni ibilisi tuu na ameshajua km akikuacha ukawa rafiki wa Mungu basi utakuwa kikwazo chake kikubwa sana,,nakuomba sana anza kurekebisha urafiki wako na Mungu,,hakuna aliye rafiki wa Mungu akajuta au akahaibika duniani...
Kwa hali ilivyokuwa mwaka 2015 ndani na nje ya chama,,kwa kweli bila jitihada za M/kiti mstaafu,,Katibu mkuu Mzee Kinana na Nape kwa kweli tusingerudisha dola hata kama mgombewa wetu alikuwa ni bidhaa sahihi kwa wakati husika na hilo linajidhiilisha sasa kwa UTENDAJI NA UFANISI WAKE ila ni...
Pascal Mayalla,
Zamani hakuna idara ilikuwa na heshima kama Tiss,,heshima iyo haikuwepo kwa nidham ya uwog au walilazimisha kuheshimiwa,,HAPANA ila WELEDI,,USIRI NA UMAKINI wa watumishi wa idara husika.
Kazi kubwa ya Idara hii ni INTELIJENSIA na kazi iyo ufanywa na watu wenye uwezo mkubwa...
wee ni mpuuzi kuliko hata yule aliyeitwa mpuuzi,,nyie ndio mnapaswa kurudisha vyeti vyenu vya social science certificate coz hata hujui ni kosa kumuonyesha mtu hata kisu,,je bastola?hakuna aliye juu ya sheria.
Mtatumiwa sana mabwege nyie na cku mkizinduka,,kwisha hbr yenu!!=
me mwenyewe mwana ccm ila kama kweli nchi inaendeshwa kwa misingi ya sheria na haki,,Mh Rais amwamulu mkurugenzi mtendaji wa baraza atoe vyeti vya Makonda AZARANI..Taifa lina HAZINA KUBWA LA VIJANA TENA WENYE ELIMU NZURI,,WAFANISI WAZURI WA KAZI,,kwa nini Mh Rais anamng'ang'ania Makonda?kuna...
hakuna sheria inayosimamia kikamilifu taasisi za fedha dunia inayoruhusu makampuni ya simu kutoa mikopo mikubwa kama ivyo so huo ni uwongo pia izo kampuni za simu iyo shughuli ya utoaji mikopo sio kazi yao kuu thats why wametakiwa kufungua mabenki kwa ajili ya huduma za kifedha
hapana husiseme ivyo ingawa alikuwa anafanya biashara ya bidhaa halamu lakini hujui alikuwa na mzigo kiasi gani?hujui chanzo cha mtaji wake either alikopa?pia week 2 zilikuwa hazitoshi watu kumaliza stock yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.