Wanawake wasiku izi za mwisho ni balaa tupu....
Kama unampenda....mwanbie ila ukikataliwa usimtangaze vibaya. Kula MTU ana haki ya kuwa na mahusiano na type yake.
Nivyema akafanya ufugaji pamoja na kilimo kwasababu via naendana angekua karibu ningemsaidi mawazo lakini pia hapa naweza mshauri upande was kilimo kuna changamoto kubwa sana afanye utafiti kwa wakulima wakati ajue wao wanaendeshaje kilimo na pia kilimo sasa ni chakumwagilia ndo kinalipa so...
Naitwa Peter Odada, miaka 31
Kabila Jaluo, Urefu cm 182, rangi maji ya kunde, elimu diploma ya biashara(CBE Dodoma)
Kazi biashara makazi Kilimanjaro.
SIFA ZA MKE
Awe na elimu kidato cha 4 nakuendelea, rangi maji ya kunde, mwembamba.
Hamna MTU mwenye haki ya kumtukana wenzake hapo umekosea dada Mudawote ukumbuke mzee Aikaeli ndo alimpa Nyerere nauli ya kwenda uingereza kujieleza anataka Uhuru was nini.....karibia majengo tote ya Maji was Moshi ni ya familia ya kinamboe..... Mboe amekuta ela zakutosha unga hana mda...
Hivyo nihali ya kawaida kwa jinsia zote ukikaa bila kufanya ngono nyege zinakusukuma kufanya ngono,watu wengi hupata magonjwa wakati kama huo ulio nao ikiwemo ukimwi na mimba zidizo pangwa na kushauri Fanya mazoezi tumia maji baridi kuoga kaakaribu na wanaume wafanye marafiki lakini usisahau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.