Tukirudi juzi mimi nitakuwa kichanga.Babu wa leo alikuwa kijana wa juzi kama wewe!
Naomba upitie hii thread tangia mwanzo,naamini utapata maelezo ya hoja yako. Pia uendelee kutoa ushauri.Ni vizur kilimo yategemea ana mtaji wa shilling ngap na yeye ana interest na aina gan ya kilimo na anakaa mkoa gan (ardhi) Ndo tutaanzia hapo
Kama anataka ni mchagulie na yenyewe sawa
Mwambie aende mnada wa Mkongeni huko atapata mbegu nzuri za kimasai. Ila ni vizuri pia akachanganya na mbegu za wafugaji wengine kama 'Wamang'ati'na 'Wambulu' ni wavumilivu na huzaliana.
Akiwa na mwenyeji mzuri atamsaidia kupata mbegu ya mbuzi wenye kuzaa mapacha.
Huu ni mradi mzuri sana hakika hatajuta.
Kuuliza hivyo kuna maana yake MTU kama anapenda cabbage ukimshaur kupitia kitu anacho kipenda atakifanya kwa moyo mmoja cause kimo akilin mwake pia huwez kumshauli kilimo ambacho kinazid mtaji wake kwenye maandaliz ardhi piaNaomba upitie hii thread tangia mwanzo,naamini utapata maelezo ya hoja yako. Pia uendelee kutoa ushauri.
Huyu mwomba ushauri keshachagua ufugaji! Shauri juu ya ufugaji.Kuuliza hivyo kuna maana yake MTU kama anapenda cabbage ukimshaur kupitia kitu anacho kipenda atakifanya kwa moyo mmoja cause kimo akilin mwake pia huwez kumshauli kilimo ambacho kinazid mtaji wake kwenye maandaliz ardhi pia
Sawa kuna site selection feed housing breeding (production) Management yapaswa kufuata hivyo in short je anaraka kufuga nn ?Huyu mwomba ushauri keshachagua ufugaji! Shauri juu ya ufugaji.
Nimeongea nae,kupitia ushauri wenu,atajielekeza kwenye nguruwe au mbuzi wa nyama.Sawa kuna site selection feed housing breeding (production) Management yapaswa kufuata hivyo in short je anaraka kufuga nn ?
Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
ARDHI.NI MALI KULIKO PESA ANUNUE KISHA AANZE NA KUFUGA KISHA AENDELEE NA KILIMO!Mrejesho: Baada ya kuwasiliana naye,kasema kabla hajaomba msaada kwangu,alikuwa tayari kaonyeshwa eneo la ekari 8 alinunue. Amesita kulinunua kwa vile hajajishauri vya kutosha alime au afuge! Aliambiwa bei ni 5 M. Na ameona bora apate ushauri wa kutosha kabla. Hii ina maana yuko tayari kupokea ushauri wako!
Kama hajawahi kufanya kilimo at all huko nyuma mshauri afanye ufugaji atleast ni risk ndogo kuliko kilimo,Nina rafiki yangu amestaafu utumishi wa Umma. Anataka afanye investment katika kilimo au ufugaji. Ameniomba ushauri kumchagulia awekeze wapi?
Kwa vile jukwaa hili ni la ushauri,naye siyo mwanachama,naombeni ushauri kulingana na hali halisi iliyopo sasa.