Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,748
- 14,081
Hatimaye yule kamanda fake a.k.a Dj yupo mikononi mwa makamanda wa ukweli a.k.a jeshi la polisi la Tanzania. Pamoja na kujificha koote, ila kadakwa kwenye kichocholo alikokuwa kajificha.
Alipenda sana kuhimiza maandamano ila kumbe mbele ya polisi ni muoga kama arsenal, hahah
Alipenda sana kuhimiza maandamano ila kumbe mbele ya polisi ni muoga kama arsenal, hahah