Natamani kumuacha ila nashindwa

Natamani kumuacha ila nashindwa

Hongera, hii ni dalili ya ujauzito, baada ya miezi kadhaa tegemea kupata mtoto tena atakua wa kiume sababu anakuchukia sana.

Ongeza upendo, tumia boom vizuri . kuwa na hekima na ujiandaye kwa malezi.
Hahahaha utamfanya akimbie hata chuo!! Na alivyomuoga hadi hela ya demu anaiona ni yao wote. Hela ya demu ni ya demu, na hela yako ni yenu wote hakuna vice versa labda tuhamie sayari nyingine!!
 
Mwambie ukweli kuwa wewe sio shetani....japo huenda ukafanana tabia na shetani lakini msisitizie wewe sio shetani.....
 
Huyo hana lolote,anajua unampenda .....na anakukomesha, atafune pesa zako,....na itakua amesha watangazia wenzie amekukamata...(umezimika)
Wewe achana nae kabisa, usimwonyeshe kama umemuacha.....wewe usimpe ushirikiano jifanye ukobize, lasivyo nashule itakushinda.
 
Huyo hana lolote,anajua unampenda .....na anakukomesha, atafune pesa zako,....na itakua amesha watangazia wenzie amekukamata...(umezimika)
Wewe achana nae kabisa, usimwonyeshe kama umemuacha.....wewe usimpe ushirikiano jifanye ukobize, lasivyo nashule itakushinda.
Ushauri mzuri sana mkuu nitajaribu
 
Back
Top Bottom