Recent content by Peter Lemi

  1. P

    Morogoro: Nipe Laki 2.5 Nikupe Chumba Chenye Kitanda Na Godoro 5*6 Kishalipiwa Kodi Miezi Mitatu.

    Habari Zenu Wadau Nimepata Kazi Mkoan Hivyo Natafuta Mtu Nimpe Kitanda 5*6 na Godoro Lake Na Chumba Kwa Laki 2.5 Tu. Chumba Kipo Kiwanda Cha Tumbaku Km 5 Kutoka Chuo Cha Sua Kampas Ya Mazimbu. Kuna Maji, Umeme, Kina Siling Body. Aliyetayar 0625668723
  2. P

    Wale 10 Wa Zanzibar College Of Health (Diploma In Clinical Medicine)! Tufahamiane hapa.

    Jaman Kwanza Namshukuru Mungu Kwa Kupata Nafasi Hii Adimu!! Na Wale Waliokosa Nafas Bc Msikate Tamaa!! Nilimaliza 6 Last Year Nikapangiwa KU! Ada ikawa mtihan so nikakaa home mwaka mzima! Nikafanya Ujinga Mmoja Ambao Umenifanya Nipate Nafas Hii Adimu! Yeyote Apendae Kujua Nilichofanya Njoo Pm...
  3. P

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nipe Game 6 Za Ushind Normal Nitie Kumi Elfu;
  4. P

    Je kuna combination zimefutwa kidato cha Sita?

    Duh! Jibu Ni Hili Comb Haijafutwa CBG!7 Ushauri Naona Kama Wew Mzaz Unajitahid Kumlazimisha Mtoto Aende Usayansini! Hebu Kaa Nae Muulize Nin Anataka! Sio Kumpelekesha Na Kutaka Sifa! Kumbuka Anayesoma na Kupiga Paper Ni Yeye Na Kwa Hayo Matokeo Ya Point 23 Napata tabu Kumwamin kama hapo CBG...
  5. P

    Msaada NACTE

    sirmz ndola nkongu ndasu 0712988560
  6. P

    Msaada NACTE

    Inawezekana! Nenda Kwenye Futa Machaguo! Hapo Utaanza Na Upya Utaletewa kozi Zote! Afya! Elimu! Engineering Na Education!!! Hapo Utaweka Koz Zip Ungependa Ziwe First Priority Na Second Na Third! Uta Mark Utabonyeza Continue With Application! Kila Faculty Utachagua Kozi 3!
  7. P

    Msaada wa mawazo juu ya biashara ya photo studio & photo printing services

    Kama Ukitumia Printer Ndogo Za L800 Tenga 7.5M ! Kama Utataka Printer Kubwa Andaa 30M + 7.5M kwa Mchanganuo Ufuatao; 1. CAMERA CANON EOS 7D Tsh 2.5M 2. PRINTER L800 Tsh laki 8 * 2 = 1.6 M 3. LIGHTING TOOLS full Package Ya Sony Lighting Set Yenye Taa + Reflector + Stand + Umbrella! Inaenda...
  8. P

    Kipi Kinywaji Kizuri Kwa Afya?

    Kunywa CHIBUKU mkuu! Iko poa sana
  9. P

    Tanzania Tumeshuka Viwango Vya FIFA, Jamali Malinzi una nini cha kujivunia?

    Tumeshuka Nafasi Tano Kutoka Nafasi 125 mpaka 130! Kocha Anadai M 200! TRA Wamekamata Magari! Malinzi Bado Unajiona Unaendana Na Kas Ya Uncle Magu? Jitumbue
  10. P

    Msaada wa mawazo juu ya biashara ya photo studio & photo printing services

    kalagabaho tafuta D40 Iko Good! Ukiitafutia Na Lens Ya Nikkor 55-300m f/4-5.6 IF Ambayo Inakuwa Na VR {Vibration Resistance}
Back
Top Bottom