Tanzania imekwisha.viongozi wetu.ambao tuliwachagua kwa lengo moja, watuongoze,wametugeuka,wanatukandamiza,hakuna hatammoja anae simama kumtetea mwananchi wa hali ya chini.wamekuwa mafisadi,wabinafsi,wanajimbikizia mali, wanaingizamadawa ya kulevya,huyo anaekataa wasitajwe nayeye anahusika,ndio...