Ajali mbaya Mbezi kwa Msuguri!!

Ajali mbaya Mbezi kwa Msuguri!!

sehemu kama ile kuna shule kando kituo kikubwa temboni na st. anne na bado hamna alama wala tuta,ni aibu kwa viongozi wa mtaa kutokutambua matatizo ya eneo lake tena tatizo critical kias kile
 
Tumia akili kidogo bac ... hata nguvu zako za kiume zikipungua utaisingizia ccm


Nguvu za kiume ni matokeo ya lishe inayotokana na maisha bora yanayoletwa na sera bora
 
huyu jamaa kazidisha kafara mnoo. Kafilis nchi haitosh sasa dam za watu. Tatizo letu wabongo kuwaweka wacheza ngoma pale.
Kijana hacha kufikiri kwa kutumia masaburi,,kwani kikwete ndo anawafanya waendeshe gari kwa fujo?
 
hujapata hata kapicha kamoja ka ajali mkuu
 
Huyu jamaa wakupuuza tu,hakuna ajali wala nini.
Hii si mara ya kwanza kwake kuzusha tukio la ajali anachofanya nikuwa-enjoy tu Sana sana atawaletea picha za nyuzi za 2012.
 
Huyu jamaa wakupuuza tu,hakuna ajali wala nini.
Hii si mara ya kwanza kwake kuzusha tukio la ajali anachofanya nikuwa-enjoy tu Sana sana atawaletea picha za nyuzi za 2012.


Watu wa aina yake wanatakiwa total ban na kupuuzawa kabisa kama usemavyo maana yawezekana wana dosari vichwani bora mara kumi kutochangia chochote kwenye thread zao kwakuwa hawatofautiani na mateja
 
Kuna ajali mbaya imetokea hapa Mbezi kwa msuguri ikihusisha Lori LA mchanga na Gari aina ya Toyota Spacio.

Gari. ndogo imeharibiwa vibaya sidhani kama kuna aliyesalimika.


Picha zinatisha sana siwezi kuzianika hapa.
acha UCHOYO,WEKA PICHA HAPA,AMBAE HATAKI KUANGALIA ANAACHA,NI SAWA NAKUSEMA ETI Zima compyuta kuna utandawazi.kuangalia ni hiari ya mtu,kutoziweka una wanyima haki tunaopenda tuzione..

unatunyima haki ya kupata tarifa kamili..
 
CCM inalimaliza hili Taifa..

CCM inamaliza hili taifa sio kwa ajali za barabarani bali kwa ufisadi. Ajali zinaepukika kama wahusika wako makini kwanza kwenye kujifunza udereva na pili kujua jinsi ya kujihami uwapo barabarani kwani kwenye mafunzo somo la kujihami halipo.
 
Hapo kwa Msuguri ni sehemu hatarishi sana, si kwa magari wala waenda kwa miguu...
 
atakama ungetumia neno ajali imetokea ungeeleweka,maana ukisema ajali mbaya imetoke unamaana kuna ajali nzuri?
 
Back
Top Bottom