Makadirio ya mapato ya Askofu Gwajima

Makadirio ya mapato ya Askofu Gwajima

Waumini wenyewe ndio wanajua siri ya Kutoa. Ukitoa sadaka vyema na fungu la kumi mali zako haziliwi na nyenyere.
 
Watu wa Mungu ni matajiri jamani hata Muhamadi alikuwa mfanya biashara mzuri na hakuwa masikini tuache majungu....
 
Mahesabu feki kwa Mchunguzi feki, aingii akilini watu 70,0000 wakati hata elfu kumi hawafiki.
 
Ninyi watu wa umu banaa. Misukule inatoa sadaka inapata wapi hela. Wacha matani banaa. Labda kama kweli ana kiwanda cha poda huko Brazil kama anavyosema Mchunguzi hapo sawa. Mimi ainiingii akilini.
 
Hakika wewe ni Zombie Mkuu... Gwajima anatengeneza over 3 Billions P.A ... Mtaji wake ni ninyi Mazombie ... Fuatilia Ulaya dini zilikoanzia, wanaendekeza Ujinga huu wa kushinda usiku na mchana kuomba? Bahati mbaya sana Muombaji mwenyewe ndo msanii kama Gwajima na Ka- Tortoise... Endelezeni uzombie bila kuzalisha muone kama mtafanikiwa zaidi ya kumtajirisha Gwajima...

Kwanza nakupa taarifa hii, mimi si muumini katika kanisa la Gwajima. Pili bila shaka weww ni zombie ambaye hujitambui. Wewe unadhani kuna kitu gani ambacho kwa sasa kipo Afrika na asili yake ni ya ulaya? Hold on, internet hiyo inayokuwezesha kuandika upuuzi wako, ni ya wapi? Nguo ulizovaa, aina ya nyumba, n.k n.k, zilitoka wapi? Kwa hiyo kwa akili yako chafu, unadharau wale wanaofuata dini za kimagharibi, hapo hapo unasahau kuna watu wanaathiriwa na madawa ya kulevya ambayo nayo yanatoka huko huko. Hivi, kati ya anayetumia pesa zake kutoa sadaka, na yule ananunua madawa ya kulevya, yupi bora. Acha uboya wewe, Afrika bila ubishi, watu wengi wapo katika uraibu(addiction) ya vitu vyenye asili ya kimagharibi. Mfano, wapo walioathirika katika pornography, madawa ya kulevya, utumizi wa internet, endelea.
 
Wanabodi,

Kama ni kweli Ngwajima ana waumini wasiopungua elfu sabini na wanaenda kanisani mara mbili kwa wiki basi Ngwajima anaingiza zaidi ya bilioni tatu kwa mwaka (makadirio ya chini kabisa)

NI HIVI:
Tufanye kila muumini wake hutoa sadaka ya sh. 500 tu-hiyo ni flat rate, ina include waliotoa elfu kumi, waliotoa sh mia na wasio toa kabisa.

Hivyo basi kwa siku moja kwa waumini 70,000 wakitoa sh 500 ni sawa na sh milioni 35. Kwa wiki wanaenda mara mbili hivyo ni sawa na sh milioni 70.

Kama kwa wiki anaingiza milioni 70, je kwa mwezi anaingiza kiasi gani? Uki cross multiplication utapata milioni 280

Kama kwa mwezi anaingiza milioni 280, je kwa mwaka anaingiza kiasi gani? uki cross tena multiplication utapata bilioni 3 na milioni 360. Sasa piga hesabu kwa miaka yote aliyotoa huduma ameingiza sh ngapi?

Kwa mantiki hiyo pesa aliyonunulia Hummer aliipata ndani ya mwezi mmoja tu.

Achilia mbali fungu la kumi na pesa mbali mbali anazopewa kama zawadi, hapo tumepiga hesabu ya sadaka tu.

NAMALIZIA, Biblia inasema "vya madhabahuni vitaliwa na wamadhabahuni" full stop.

Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)

Kumbe ni biashara!
 
wanaosali unawaita mazombi! eheee.. wewe unayetajirisha wauza gongo na wamiliki wa madanguro tukuiteje? halafu uwe unafanyia tafiti taarifa b4 barking...kama watu wanashinda pale asbh till night..then wanakula mawe? hawasomeshi? wanatafuta saa ngapi hela japo za nauli ya kuwafikisha church? kichwani umejaza makamasi? can't u think? kha! ni kwamba ktkt ya wk zipo ibada rasmi 3, na zinakuwa jioni, saa 12 jioni-1:30/2 ucku. na ya j2 ndo ibada ndefu, inaisha kwenye saa 8 au zaidi au b4 saa 8. otherwise kama mtu ana maombi yake anaenda kwa muda wake kutokana na ratiba yake! Mbona katoliki kuna ibada kila siku,huoni shida? shida ni walokole! Halafu pole sana kwa kuita ibada UJINGA! ipo siku utaziona za thamani, nakuapia. nawafahamu wengi waliokuwa na dharau kuliko wewe, tena walikuwa juu kimaisha(sio ww mbeba mizigo) lakini leo hii........endelea, kabla ya kwenda jehanam utaelewa tu
Hakika wewe ni Zombie Mkuu... Gwajima anatengeneza over 3 Billions P.A ... Mtaji wake ni ninyi Mazombie ... Fuatilia Ulaya dini zilikoanzia, wanaendekeza Ujinga huu wa kushinda usiku na mchana kuomba? Bahati mbaya sana Muombaji mwenyewe ndo msanii kama Gwajima na Ka- Tortoise... Endelezeni uzombie bila kuzalisha muone kama mtafanikiwa zaidi ya kumtajirisha Gwajima...
 
hata angepata bilioni 56000 kwa siku zinakuhusu nini wewe kama unaona kanisani dili anzishe na wewe utapata mtaji
 
Wanabodi,

Kama ni kweli Ngwajima ana waumini wasiopungua elfu sabini na wanaenda kanisani mara mbili kwa wiki basi Ngwajima anaingiza zaidi ya bilioni tatu kwa mwaka (makadirio ya chini kabisa)

NI HIVI:
Tufanye kila muumini wake hutoa sadaka ya sh. 500 tu-hiyo ni flat rate, ina include waliotoa elfu kumi, waliotoa sh mia na wasio toa kabisa.

Hivyo basi kwa siku moja kwa waumini 70,000 wakitoa sh 500 ni sawa na sh milioni 35. Kwa wiki wanaenda mara mbili hivyo ni sawa na sh milioni 70.

Kama kwa wiki anaingiza milioni 70, je kwa mwezi anaingiza kiasi gani? Uki cross multiplication utapata milioni 280

Kama kwa mwezi anaingiza milioni 280, je kwa mwaka anaingiza kiasi gani? uki cross tena multiplication utapata bilioni 3 na milioni 360. Sasa piga hesabu kwa miaka yote aliyotoa huduma ameingiza sh ngapi?

Kwa mantiki hiyo pesa aliyonunulia Hummer aliipata ndani ya mwezi mmoja tu.

Achilia mbali fungu la kumi na pesa mbali mbali anazopewa kama zawadi, hapo tumepiga hesabu ya sadaka tu.

NAMALIZIA, Biblia inasema "vya madhabahuni vitaliwa na wamadhabahuni" full stop.

Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)

Ukifahamu kama kuna kuingiza ujue kuna na kutoa vile vile. Mimi niko kwenye kamati ya kanisa lililoko mjini, makusanyo ya sadaka ni kidogo sana ukilinganisha na matumizi - mishahara, umeme, ulinzi, vifaa vya ibada mara si mara moja matumizi ya kawaida kugharamiwa na michango ya maendeleo kama harambee za ujenzi.

Mleta mada vile vile ukumbuke wale wanaomzunguka Gwajima na suti zao nao wana familia zao zinazohitaji kuhudumiwa vizuri na hizo hizo sadaka
 
hivi unaelewa unaposema watu elfu sabini ,anakanisa la ukubwa gani au eneo la ukubwa gani?,acheni kuleta hapa porojo
 
Wanabodi,

Kama ni kweli Ngwajima ana waumini wasiopungua elfu sabini na wanaenda kanisani mara mbili kwa wiki basi Ngwajima anaingiza zaidi ya bilioni tatu kwa mwaka (makadirio ya chini kabisa)

NI HIVI:
Tufanye kila muumini wake hutoa sadaka ya sh. 500 tu-hiyo ni flat rate, ina include waliotoa elfu kumi, waliotoa sh mia na wasio toa kabisa.

Hivyo basi kwa siku moja kwa waumini 70,000 wakitoa sh 500 ni sawa na sh milioni 35. Kwa wiki wanaenda mara mbili hivyo ni sawa na sh milioni 70.

Kama kwa wiki anaingiza milioni 70, je kwa mwezi anaingiza kiasi gani? Uki cross multiplication utapata milioni 280

Kama kwa mwezi anaingiza milioni 280, je kwa mwaka anaingiza kiasi gani? uki cross tena multiplication utapata bilioni 3 na milioni 360. Sasa piga hesabu kwa miaka yote aliyotoa huduma ameingiza sh ngapi?

Kwa mantiki hiyo pesa aliyonunulia Hummer aliipata ndani ya mwezi mmoja tu.

Achilia mbali fungu la kumi na pesa mbali mbali anazopewa kama zawadi, hapo tumepiga hesabu ya sadaka tu.

NAMALIZIA, Biblia inasema "vya madhabahuni vitaliwa na wamadhabahuni" full stop.

Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)

Hii biashara ni tamu sana. Unawanyang'anya watu bila wao kupiga kelele wala kulalamika tena wasipokupa wanajiona ni wakosefu. No TRA no EFDs just clean monies!
 
Last edited by a moderator:
Atupigie hesabu za mafisadi niwangapi hapa nchini na mpaka sasa wameiba ngapi,akijumlisha na zile za Escro, na za uswiss.
 
Mkuu PODA manake nini kuwa muwazi tuelewe lugha hapa imenipiga chenga. Mimi najua Gwajima anauza maji, ana na kiwanda cha poda pia???

hahahaaahaaaa
mkuu umeniacha hoiii..
Poda ni lugha ya vijana
 
Wanabodi,

Kama ni kweli Ngwajima ana waumini wasiopungua elfu sabini na wanaenda kanisani mara mbili kwa wiki basi Ngwajima anaingiza zaidi ya bilioni tatu kwa mwaka (makadirio ya chini kabisa)

NI HIVI:
Tufanye kila muumini wake hutoa sadaka ya sh. 500 tu-hiyo ni flat rate, ina include waliotoa elfu kumi, waliotoa sh mia na wasio toa kabisa.

Hivyo basi kwa siku moja kwa waumini 70,000 wakitoa sh 500 ni sawa na sh milioni 35. Kwa wiki wanaenda mara mbili hivyo ni sawa na sh milioni 70.

Kama kwa wiki anaingiza milioni 70, je kwa mwezi anaingiza kiasi gani? Uki cross multiplication utapata milioni 280

Kama kwa mwezi anaingiza milioni 280, je kwa mwaka anaingiza kiasi gani? uki cross tena multiplication utapata bilioni 3 na milioni 360. Sasa piga hesabu kwa miaka yote aliyotoa huduma ameingiza sh ngapi?

Kwa mantiki hiyo pesa aliyonunulia Hummer aliipata ndani ya mwezi mmoja tu.

Achilia mbali fungu la kumi na pesa mbali mbali anazopewa kama zawadi, hapo tumepiga hesabu ya sadaka tu.

NAMALIZIA, Biblia inasema "vya madhabahuni vitaliwa na wamadhabahuni" full stop.

Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)

Naomba verse hiyo katika bible. Tuanzishe kanisa rafiki
 
Back
Top Bottom