kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,499
Mkuu ni bar ya kishua kuanzia alhamis hadi jumapili kuna bamba sana watoto wakali wa kila aina kuanzia wazungu,wahindi,waarabu,wa africa ushindwe wewe tu iko kalibu na jackies masaki barabarani kabisa jioni muda mzurihiyo elements ni club au? cku ipi nzuri na muda gani mzuri nije?